Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Nakumbuka kitaa kipindi hicho wakati redio ni dili kubwa.......
Tena tulikuwa tunaita redio kaseti halafu swali linalofuatia hapo ni "Redio yako ina bendi ngap?!!"......................
Mwingine utasikia anajisifu mi nimenunua kitu kina bendi 12 wakati vituo vyenyewe vya redio viwili RTD na bbc tu na vyote masafa ya kati(MW).
Tena tulikuwa tunaita redio kaseti halafu swali linalofuatia hapo ni "Redio yako ina bendi ngap?!!"......................
Mwingine utasikia anajisifu mi nimenunua kitu kina bendi 12 wakati vituo vyenyewe vya redio viwili RTD na bbc tu na vyote masafa ya kati(MW).