Unaijua namba ya airtell ya dr.kikwete?

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Wana Jamvi,

Naombeni namba ya Airtel ya Dr. Kikwete, kuna kitu muhimu nataka kumshauri. Kuna mtu amenipigia analalamika ati kwa nini ameachwa kwenye baraza jipya la mawaziri. Mie nataka nimshauri Rais amjumuishe wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku.

Nimejaribu namba zake nyingine, lakini zote hazipatikani.

Nisaidieni.
 
Muuliza Rostam Aziz ndio mmojawapo wamiliki wakuu mpya wa kampuni hiyo kwa kujificha mgongoni mwao wahindi atakupa.
 
Duh! Namba achana nayo, we la kufanya aombe mmoja wa mawaziri afe nafasi itakua yake. Usimsumbue JK kwa sasa yuko busy anatafuta dawa ya CHAD....MA
 
Wana Jamvi,

Naombeni namba ya Airtel ya Dr. Kikwete, kuna kitu muhimu nataka kumshauri. Kuna mtu amenipigia analalamika ati kwa nini ameachwa kwenye baraza jipya la mawaziri. Mie nataka nimshauri Rais amjumuishe wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku.

Nimejaribu namba zake nyingine, lakini zote hazipatikani.

Nisaidieni.

yuko nje ya nchi anabembea...
 
Unaweza kutumia airtel customer care, he is one of the directors....you will not miss him and it is toll free
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom