MrishoKafir
Member
- Aug 5, 2015
- 25
- 2
Yan kwa jinsi ninavokujua wewe apo, ukipewa laki5 500,000 sahiv utaifanyia nin? utafungua biashara gan mda huu?
weng uwa tunamalengo lakin ukizkamataa tu yanaanza mambo ya bata ndefu hatari,
biashara ni kitu knahitaji fikra na hakiitaji kumuangalia flan eti katusua, tumia akili yako vzur utatoboa2
weng uwa tunamalengo lakin ukizkamataa tu yanaanza mambo ya bata ndefu hatari,
biashara ni kitu knahitaji fikra na hakiitaji kumuangalia flan eti katusua, tumia akili yako vzur utatoboa2