Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Kujifanya unapinga uovu wakati wewe ndio mwovu mkubwa...
1.Unajifanya unasuluhisha watu wanapigana kumbe kimoyo moyo unataka wadundane ila unasuluhisha tu ili uonekane unajali
2.Kujifanya unasuluhisha wapenzi waliogombana kumbe kimoyo moyo unataka waachane ili ufaidi.
3...................
4...............
5................
endelea
Aisey ! Unanimwagiaje mavitu yaliojaa busara! Wewe sio chapombe bwanaa!
ID yako ndiyo issue !
Haiyendani na yanayokutoka mdomoni !
Au labda unakunywaga za kichina? Maanake zitakua sio madhubuti kwa maana ya kutolewesha sana kama zingine.
Aisey ! Unanimwagiaje mavitu yaliojaa busara! Wewe sio chapombe bwanaa!
ID yako ndiyo issue !
Haiyendani na yanayokutoka mdomoni !
Au labda unakunywaga za kichina? Maanake zitakua sio madhubuti kwa maana ya kutolewesha sana kama zingine.
Kujifanya unamsaidia mtu, huku pembeni unamtangaza na kumsimanga kwa hali yake duni!!
ndugu yako anapokua mgonjwa hata chungwa hukumpelekea hosp lakini akifa wewe ndo mstari wa mbele kutoa magari yako yasaidie msibani,unamnunulia jeneza na suti ya gharama ya kuzikwa nayo na kitu chochote kikihitajika msibani unatoa hela fasta kikanunuliwe.
kuwa mstari wa mbele katika nyumba za ibada na pahala pengine kupinga uasherati na uzinzi wakati wamiliki gesti bubu