wakati huu nafikiria kufanya sub-netting and configuration of cisco router.
Mi nafikiria kama binti yangu alivyoaga asubuhi anaenda shule ni kweli kaenda au ndo kama vile tena...
dah,umenikumbusha mbali wakati nafanya CCNA. . .
charminglady kwa nini upate shida wakati tajiri nipo? niPM fasta au nipe namba inayopokea m pesa.nawaza cku ya leo itakwendaje wakati sina chapaa kwa mufuko!
kwanza jifunnze kuwa unatoa 'like' ndo utapata pesa.Pesa pesa pesa!! That is my main concern in my life.
mmmmmmmhhhhhhh???????beibe nasty mbona kama vile title ya thread yako ni kopi n pesti ya kwenye fesibook ila kwa kiswahili? whats on ur mind?
kwani beibe nasty kazi yake nini?Muda huu nawaza kunyoa!
habari zenu wana jf nimewamis kwanza sikua vizuri sikuchache zilizopita ila mi nahitaji kufahamu kwa muda huu unawaza nin kwa kichwa chako?
Beibe nasty mke wa judgement asanteen saana
Haikuhusu bishanga nakwambiakwani beibe nasty kazi yake nini?
Punda mbona kidogo ni zaid ya hapo chezeiya kituu na muho wewe