Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Wajameni hebu angalieni hiki kipande cha taarifa ya gazei la habariLeo la tar 31/01/09 kuhusu mgogoro kati ya TFF na ZFA;
Vyama hivi viwili vimekuwa vikitofautiana kila mara , inakuwa kama maji kupwaa na kujaa. Lakini tofauti na siku za nyuma, ambapo baadhi ya viongozi wa vyama hivyo walihusika ktk kutupiana lawama, safari hii sual la TFF na soka la Zanzibar liliibuka ktk kikao cha baraza la waakilishi.
Ktk kikao hicho ilielezwa kuwa TFF haitendi haki kwa maendeleo ya kandanda Zanzibar, kauli ambayo ilitolewa na na nibu wazir wa habari, utamaduni na michezo-zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo wakati akijibu swali na Said khelef Ali (CCM, Bubwini) alyetaka kujua juhudi za SMZ ktk kuinua soka, ikiwemo ushiriki wa wachezaji wa Zenj ktk timu ya taifa.
"Hatna furaha na jinsi TFF ilivyo, ninasema hili wazi kuwa Zenj haifaidiki naTFF, chombo hiki kinapaswa kusimamia pande zote 2. Lakini tutaendelea kupigania haki zetu dani ya TFF" alisema Naib waziri. Alisema Tff hasaidii zenj ktk mambo mengi ikiwemo fedha za kila mwaka toka FIFA, nahaishiriki ktk kutafuta wachezaji bora kwa ajili ta taifa stars.
Alienda mbali zaidi aliposema TFF inafikiri ni ya Bara pekee na kwama mtizamo wa TFF kwa Zenj unamkatisha tamaa hata kocha Marcio Maximo kwenda huko kutafuta vipaji baada ya kuiona timu ya vijana ktk mihuano ya challenge huko uganda. Mambo mengine inayolalamikiwa TFF ni kuwa inapanga bajeti ya Maximo kzungka ikoa yote ya Bara pekee, haimpeleki ZANZIBAR"
Wanajamii hivi hawa watu wanatuona watanganyika hatuna akili ya kutosha au vipi? Hivi michezo ni suala la muungano? je TFF ni ya muungano? Kwanini hela ya TFF ukiacha kuoka fifa zitumike kuinufaisha zanzibar ilhali wanachama chao ZFA?
Wanajukwaa hasa kutoka Zanzibar naomba mnisaidie ktk maswali yangu hayo
Vyama hivi viwili vimekuwa vikitofautiana kila mara , inakuwa kama maji kupwaa na kujaa. Lakini tofauti na siku za nyuma, ambapo baadhi ya viongozi wa vyama hivyo walihusika ktk kutupiana lawama, safari hii sual la TFF na soka la Zanzibar liliibuka ktk kikao cha baraza la waakilishi.
Ktk kikao hicho ilielezwa kuwa TFF haitendi haki kwa maendeleo ya kandanda Zanzibar, kauli ambayo ilitolewa na na nibu wazir wa habari, utamaduni na michezo-zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo wakati akijibu swali na Said khelef Ali (CCM, Bubwini) alyetaka kujua juhudi za SMZ ktk kuinua soka, ikiwemo ushiriki wa wachezaji wa Zenj ktk timu ya taifa.
"Hatna furaha na jinsi TFF ilivyo, ninasema hili wazi kuwa Zenj haifaidiki naTFF, chombo hiki kinapaswa kusimamia pande zote 2. Lakini tutaendelea kupigania haki zetu dani ya TFF" alisema Naib waziri. Alisema Tff hasaidii zenj ktk mambo mengi ikiwemo fedha za kila mwaka toka FIFA, nahaishiriki ktk kutafuta wachezaji bora kwa ajili ta taifa stars.
Alienda mbali zaidi aliposema TFF inafikiri ni ya Bara pekee na kwama mtizamo wa TFF kwa Zenj unamkatisha tamaa hata kocha Marcio Maximo kwenda huko kutafuta vipaji baada ya kuiona timu ya vijana ktk mihuano ya challenge huko uganda. Mambo mengine inayolalamikiwa TFF ni kuwa inapanga bajeti ya Maximo kzungka ikoa yote ya Bara pekee, haimpeleki ZANZIBAR"
Wanajamii hivi hawa watu wanatuona watanganyika hatuna akili ya kutosha au vipi? Hivi michezo ni suala la muungano? je TFF ni ya muungano? Kwanini hela ya TFF ukiacha kuoka fifa zitumike kuinufaisha zanzibar ilhali wanachama chao ZFA?
Wanajukwaa hasa kutoka Zanzibar naomba mnisaidie ktk maswali yangu hayo