Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
dah! yaani sisi tunaomboleza mchizi shossi katutoka nyinyi ndio kwanza mnasherehekea valentine katikati ya sredi? khaaa!
Hahaha......eti unaombolezaaa.......:A S 20::A S 20:
dah! yaani sisi tunaomboleza mchizi shossi katutoka nyinyi ndio kwanza mnasherehekea valentine katikati ya sredi? khaaa!
Huyu inabidi aisaidie rijeshi ra porisi.dah! una uhakika wewe hauhusiki na milipuko ya gongo la mboto? lol
dah! una uhakika wewe hauhusiki na milipuko ya gongo la mboto? lol
dah! halaf wewe ndio watchguard wa JF, hebu elezea kwa mistari isiozidi miwili kwanini shossi ameamua kudissapear wizauti kongrit reasonkuna baadhi nilikula bingo na huseni nika baki na detoneta mwenyewe....
yeye na mchumba wake michelle na mshkaji wao lizzyHuyu inabidi aisaidie rijeshi ra porisi.
dah! halaf wewe ndio watchguard wa JF, hebu elezea kwa mistari isiozidi miwili kwanini shossi ameamua kudissapear wizauti kongrit reason
yeye na mchumba wake michelle na mshkaji wao lizzy
Huyu inabidi aisaidie rijeshi ra porisi.
ze interesti waz to geti zat preti gal nilhamu sasa az long az nilhamu was konsan in zat stelling issue akadisapia sasa shossi ze hamu of jeieefu iz no longa zea....nawakilisha
kamanda tumeanza kukutilia wasi wasi na wewe sasa. hii chain kumbe ni kubwa acha niwasiliane na kamanda mwema.Kamanda unataka kuharibu bana Lizzy hahusiki kabisaa yuko kwangu toka Valentine na hajakanyaga hata nje.
Ha Ha haaaa... I like you Dudes... napenda kuwaita The Funny Trios au The Three Amigos.. Yaani Akiwepo Hashy, Uporoto na Kloro... Lazima ucheke..
Hapa wakuu mgekuwa mnakusanya haya maandiko na kuweka kwenye kitabu mnaweza kutengeneza Comedy...:clap2:
punguza hasira mkuu, utapata kisukari halaf sindano za adrenalin zenyewe soko lake limepungua bongoWatu mnakuwa hamna vitu vya kujadili...tuangalie mambo ya maana na sio kukaa kujadili mtu ambaye ameingia humu ndani juzi tu.......kama ameondoka aondoke atuache sisi wa mda mrefu wanaondoka sisi wanatuacha......
Watu mnakuwa hamna vitu vya kujadili...tuangalie mambo ya maana na sio kukaa kujadili mtu ambaye ameingia humu ndani juzi tu.......kama ameondoka aondoke atuache sisi wa mda mrefu wanaondoka sisi wanatuacha......
wat elsi keni yu aski...
i was just speculating......not sure!
mwambie mwalim klorokwini hapendi upokee zawadi zawadi. hehehe aking'ang'ania tunamripoti abyuzi kwa invizibo
kama kufall in love na avatar ni zambi acha tu niandikiwe. khaaaa! hakyanani mapigo ya moyo yameongezeka kwa 5% baada ya kuangalia hii avatar
wat elsi keni yu aski...
ngoja nipokee hiyo CD kwanza. CD tu mwalimu. Vingine vyote nitakataa.