Tangu lini ccm imesimama upande wa wananchi? Naungana na dr.ulimboka kwamba serikali hii bila kashkash haiwezi kusikia
wabunge wa ccm lazima waipitishe maana wakikataa bunge likavunjwa basi imekula kwao.
Tangu lini ccm imesimama upande wa wananchi? Naungana na dr.ulimboka kwamba serikali hii bila kashkash haiwezi kusikia
Hawa ni wabaya kuliko hata waliokubali moja kwa moja. Inauma sana waheshimiwa hawa kuingia mtini.Filikunjombe, Mpina na Esther Bulaya (imani kwa waziri na sio serikali dhaifu) wamejipambanua toka CCM. Kafulila, Shibuda na Hamad Rashid wamethibitisha kuwa ni vuguvugu
hakuna sheria inayolazimisha bunge kuvunjwa kama bajeti ya serikali haitapitishwa, ila umbumbumbu wa magamba kujiona wao ni superpowerwabunge wa ccm lazima waipitishe maana wakikataa bunge likavunjwa basi imekula kwao.