Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Pongezi za CCM kwa ushindi wa Nassari ni unafiki wa kuficha uharamia ambao CCM wamewafanyia wabunge na wafuasi wa Chadema huko Mwanza. Kama pongezi hizo zingekuwa za dhati wangetoa pole na kujutia kitendo cha CCM kuwacharanga mapanga na mashoka wabunge wa Chadema kana kwamba wanachinja nyama. Chama hili cha CCM sasa kimegeuka kuwa chama cha umafia na ufisadi sawia.