Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Mara kadhaa tumeshamshauri Nape aachane na ujinga ujinga wake anaouendeleza lakini amekuwa hasikii.
Na wenye akili tulimshauri awe makini sana anapoamua kutumika lakini bado amekuwa mbishi.
Wengi tunaofuatilia siasa za Tanganyika na Zanzibar tunaelewa kuwa Nape hana Muda mrefu ataingia kwenye recycle bin ya siasa.
Juzi juzi alikurupuka kupinga ongezeko la posho kwa wabunge ambapo kina Mtatiro walimwambia aache unafiki. Zitto akamtetea. Zitto ana sababu zake za kumtetea Nape na si lengo la sredi hii kumjadili Zitto.
Ona sasa ya Nape:
1. Analipwa Mshahara wa Zaidi ya Shilingi Milioni 2 kwa mwezi
2. Amepewa gari Land Cruiser VX la gharama za sh Mil 180
3. Amepewa wasaidizi wanaolipwa na Chama
4. Anapewa MAFUTA, NYUMBA na MATIBABU BURE (Hapa nina maana kwa gharama za Chama)
4. Anaposafiri, hutia kibindoni posho na fedha ya kujikimu zaidi ya shilingi 135,000/=
5. Mara nyingi (karibia zote) anaposafiri mikoani, pamoja na kupewa kitita cha safari toka Makao makuu ya chama, bado anako kwenda hulipia malazi na chakula.
Kwa upande mwingine, makatibu wa ngazi za kata hulipwa posho ya Shilingi 10,000/- kwa mwezi na Makatibu wa Matawi hulipwa Shilingi 5,000/- kwa Mwezi.
Iko wapi dhamira ya Nape ya kupinga ongezeko la posho kwa wabunge? Nani asiyejua kuwa posho wanazolipana kwenye sekretarieti ya CCM ni kodi za wavuja jasho wa Tanzania?
Source: Uchunguzi wangu binafsi ambao ni wakweli. Nape aje hapa akanushe.
Nawasilisha.
Na wenye akili tulimshauri awe makini sana anapoamua kutumika lakini bado amekuwa mbishi.
Wengi tunaofuatilia siasa za Tanganyika na Zanzibar tunaelewa kuwa Nape hana Muda mrefu ataingia kwenye recycle bin ya siasa.
Juzi juzi alikurupuka kupinga ongezeko la posho kwa wabunge ambapo kina Mtatiro walimwambia aache unafiki. Zitto akamtetea. Zitto ana sababu zake za kumtetea Nape na si lengo la sredi hii kumjadili Zitto.
Ona sasa ya Nape:
1. Analipwa Mshahara wa Zaidi ya Shilingi Milioni 2 kwa mwezi
2. Amepewa gari Land Cruiser VX la gharama za sh Mil 180
3. Amepewa wasaidizi wanaolipwa na Chama
4. Anapewa MAFUTA, NYUMBA na MATIBABU BURE (Hapa nina maana kwa gharama za Chama)
4. Anaposafiri, hutia kibindoni posho na fedha ya kujikimu zaidi ya shilingi 135,000/=
5. Mara nyingi (karibia zote) anaposafiri mikoani, pamoja na kupewa kitita cha safari toka Makao makuu ya chama, bado anako kwenda hulipia malazi na chakula.
Kwa upande mwingine, makatibu wa ngazi za kata hulipwa posho ya Shilingi 10,000/- kwa mwezi na Makatibu wa Matawi hulipwa Shilingi 5,000/- kwa Mwezi.
Iko wapi dhamira ya Nape ya kupinga ongezeko la posho kwa wabunge? Nani asiyejua kuwa posho wanazolipana kwenye sekretarieti ya CCM ni kodi za wavuja jasho wa Tanzania?
Source: Uchunguzi wangu binafsi ambao ni wakweli. Nape aje hapa akanushe.
Nawasilisha.