Massenberg
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 1,173
- 1,370
Siku wananchi watakapoamua kupigana dhidi ya udhalimu (kama itatokea wakawa na ujasiri huo) wanaofanyiwa na serikali iliyoko madarakani, Wamarekani hapa nchini wasiachiwe.
Hii ni kwa sababu Marekani inajipambanua kuwa mpigania haki za binadamu duniani kote, lakini cha ajabu mauaji ya raia na uvunjaji wa haki za binadamu unakithiri hapa nchini siku hadi siku bila wao kutamka neno lolote kama wanavyofanya kwa Zimbabwe, Myanmar na kwingineko.
Wanafahamu pia wizi wa kura na chaguzi zisizozingatia sheria na haki, lakini pia wako kimya, badala yake wanasifia uhusiano "mzuri" baina ya nchi hizi mbili huku wakitoa tuzo za Martin Luther King.
Lakini ukiangalia kwa karibu unakuta kuwa wamekaa kimya kwa sababu Kikwete (Muzungu worshipper) ni kibaraka wao mkubwa sana; hakuna analowabishi, kila kitu anawakubalia na kuwachekea tu, pengine haelewi Kiingereza chao kutokana na lafudhi ya Kimarekani inavyofunika maneno kwenye matamshi.
Hali ilivyo sasa hapa nchini ni sawa na nchi zingine nyingi, lakini kutokana na favours wanazozipata hawaikemei wala kuitisha serikali hii huku maisha ya raia wasio na hatia yakipukutishwa na risasi za polisi wapumbavu.
Serikali inajua kuwa haiwezi kubanwa na Wamarekani ndiyo maana uhuni na unyama unaongezeka siku hadi siku.
Itakapotokea msala unaanzishwa na wananchi wenye hasira, hebu Wamarekani wasisahaulike ili wajifunze ubaya wa unafiki.
Hii ni kwa sababu Marekani inajipambanua kuwa mpigania haki za binadamu duniani kote, lakini cha ajabu mauaji ya raia na uvunjaji wa haki za binadamu unakithiri hapa nchini siku hadi siku bila wao kutamka neno lolote kama wanavyofanya kwa Zimbabwe, Myanmar na kwingineko.
Wanafahamu pia wizi wa kura na chaguzi zisizozingatia sheria na haki, lakini pia wako kimya, badala yake wanasifia uhusiano "mzuri" baina ya nchi hizi mbili huku wakitoa tuzo za Martin Luther King.
Lakini ukiangalia kwa karibu unakuta kuwa wamekaa kimya kwa sababu Kikwete (Muzungu worshipper) ni kibaraka wao mkubwa sana; hakuna analowabishi, kila kitu anawakubalia na kuwachekea tu, pengine haelewi Kiingereza chao kutokana na lafudhi ya Kimarekani inavyofunika maneno kwenye matamshi.
Hali ilivyo sasa hapa nchini ni sawa na nchi zingine nyingi, lakini kutokana na favours wanazozipata hawaikemei wala kuitisha serikali hii huku maisha ya raia wasio na hatia yakipukutishwa na risasi za polisi wapumbavu.
Serikali inajua kuwa haiwezi kubanwa na Wamarekani ndiyo maana uhuni na unyama unaongezeka siku hadi siku.
Itakapotokea msala unaanzishwa na wananchi wenye hasira, hebu Wamarekani wasisahaulike ili wajifunze ubaya wa unafiki.