[h=5]ivi edo kumwembe ana agenda gani na sammata,coz sammatta akifanya vizuri uwanjani mpaka kinshasa jamaa huwa anaenda na kumsifia,,,,na kupiga nae picha kumuandika kwa mazuri,,,,,,,akizingua anageuka wakili wake,,,,,,,,au ana mipango ya muda mrefu na sammatta,,,,,,,,,
ngassa kagoma kwenda el mereikh jamaa mpaka kesho anamkomalia na kumuandikia makala[/h]
ngassa kagoma kwenda el mereikh jamaa mpaka kesho anamkomalia na kumuandikia makala[/h]