Unafiki wa Chadema Ni Huu

wanafiki ni CUF na uzandiki wao wa kutaka kuuvunja muungano. Wakifanikiwa utawasikia wakiidai Unguja na wenzao PEMBA.
Kumbukeni busara na hekima za baba wa Taifa hili hayati mwl. Nyerere. shauri yenu
Hoja dhaifu. Nyerere sio Mungu.
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?

je maudhui makubwa yako ni haya hapa? if u read between lines, is this your main theme?

,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

umetumwa na nani? kwa nini utake chadema ikusaidie kwenye hilo?
 
Mkuu, unaweza kutukumbusha siku ambayo CDM waliwahi kuhubiri issue ya serikali ya Tanganyika?, usiwe mzushi, uongo ukirudiwa rudiwa mara nyingi huanza kuonekana kama ni kweli!
 
Tumeshuhudia mjini zanzibar cuf wakiwahamasisha wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mchakato wa katiba mpya kuzunguzia muungano wa mkataba,na zanzibar kumekuwa na makongamano tofauti ambayo yanaelimisha muungano wa mkataba ,muungano huu ni kuirudisha zanzibar hadhi yake kimataifa na kitaifa,kuwa zanzibar huru.

Jee chadema ambao walikuwa wakijidai kuwa wanaipenda Tanganyika mbona wako kimpya ? Hata katika uchaguzi ulio pita waliweza kuchukua majimbo mengi kutokana na sera yao wa serikali tatu.

Cha kushangaza katika mchakato huu wa katika wameshindwa kuhamasisha kurudishwa kwa Tanganyika au Jamuhuri ya Tanganyika ,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?

Hapa kuna ulakini na chadema kwa sera zao,inaonekana wao wenyewe wanazikwepa. Au JK kawapa fupa ili kulinyamazia hili suala,munaikumbuka hutuba la TUNDU lissu katika bunge alivyo uchana muungano huu wa kisaniii ?
uji wa chumvi nao kumbe unapunguza uwezo wa kufikiri!!!!!!!
 
Bara hatutaki hata huo muungano wa mkataba.

Tunataka wazanzibar mvunje muungano na kila upande uanze kuendesha mambo yake.
 
Back
Top Bottom