kuti kavu
Member
- Feb 25, 2009
- 68
- 21
...Nimekua nikifuatilia kisemwacho na waTanzania wenzangu pamoja na viongozi wetu kuhusu kauli ya Uingereza kuwa ni sharti kukubali kuwatambua mashoga ama sivyo misaada wanayotupa wataiondoa. Asilimia kubwa ya waTanzania wameonesha jazba juuu ya hili wakiwemo viongozi wetu LAKINI:
WOte tunajua kuwa vitendo vya kishoga vimekuwa vikifanyika hapa nnchini na mara kadhaa wazi wazi. Mara ngapi magazeti ya UDAKU yameweka ukurasa wa mbele watu wakifanya vitendo vya kishoga?. Wiki chache zilizopita CLOUDS FM waliita shoga na kumuhoji mchana kweupe na alikiri kufanya ushoga na kuwa anasomesha watoto wa kazi hiyo. Viongozi wetu wanalijua hili, waTanzania tunalijua hili lakini hata mara moja sikusikia vyombo husika kulipigia kelele hili kwa uzito unaotakiwa.
LEO hii mara baada ya Uingereza kutaka kutuburuta kuwa tuukubali utamaduni huu wa kifedhuli ndo KIONGOZI ANASEMA USHOGA HAUKUBALIKI NA TUKIMKAMATA ATAFUNGWA MIAKA 30 KAMA SHERIA INAVYOSEMA.
HEBU TUJIULIZE SHOGA WA MWISHO KUFUNGWA MIAKA 30 ALIKUWA NANI? HUYO ALIYEHOJIWA REDIONI NA KUKIRI USHOGA ALICHUKULIWA HATUA GANI? HAO WANOTOLEWA MAGEZETINI WAKIFANYA VITENDO HIVI WALICHUKULIWA HATUA GANI?
Nionavyo mimi asilimia kubwa ya kauli zinazotolewa ni UNAFIKI TU!!! na kutafuta umaarufu wa kisiasa.... Ni sawa na kuwa na mtoto wako mwizi halafu huchukui hatua lakini akitokea jirani na kukuambia uitambue na kuikubali tabia ya wizi aliyonayo mwanao unaanza KUHAMAKI!!!
WOte tunajua kuwa vitendo vya kishoga vimekuwa vikifanyika hapa nnchini na mara kadhaa wazi wazi. Mara ngapi magazeti ya UDAKU yameweka ukurasa wa mbele watu wakifanya vitendo vya kishoga?. Wiki chache zilizopita CLOUDS FM waliita shoga na kumuhoji mchana kweupe na alikiri kufanya ushoga na kuwa anasomesha watoto wa kazi hiyo. Viongozi wetu wanalijua hili, waTanzania tunalijua hili lakini hata mara moja sikusikia vyombo husika kulipigia kelele hili kwa uzito unaotakiwa.
LEO hii mara baada ya Uingereza kutaka kutuburuta kuwa tuukubali utamaduni huu wa kifedhuli ndo KIONGOZI ANASEMA USHOGA HAUKUBALIKI NA TUKIMKAMATA ATAFUNGWA MIAKA 30 KAMA SHERIA INAVYOSEMA.
HEBU TUJIULIZE SHOGA WA MWISHO KUFUNGWA MIAKA 30 ALIKUWA NANI? HUYO ALIYEHOJIWA REDIONI NA KUKIRI USHOGA ALICHUKULIWA HATUA GANI? HAO WANOTOLEWA MAGEZETINI WAKIFANYA VITENDO HIVI WALICHUKULIWA HATUA GANI?
Nionavyo mimi asilimia kubwa ya kauli zinazotolewa ni UNAFIKI TU!!! na kutafuta umaarufu wa kisiasa.... Ni sawa na kuwa na mtoto wako mwizi halafu huchukui hatua lakini akitokea jirani na kukuambia uitambue na kuikubali tabia ya wizi aliyonayo mwanao unaanza KUHAMAKI!!!