Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Inasikitisha sana kuona Media zetu zinakuwa na unafiki wa kuleta habari kwa watanzania muda si mrefu tutaanza kutoa maoni juu na katiba yetu ili kupata tanzania tunayoitaka
1. Juzi tarehe 7.04.2012 baada ya kifo cha Kanumba wakati nasafiri nilisikia mtangazaji wa clouds FM alikireport kutoka msibani sinza kwa kanumba eti anatoa number ya M-PESA ili watu wachangie maandalizi ya msiba (hiki kilikuwa kitendo cha kipumbafu kwa clouds FM kujinufaisha na Msiba wa marehemu)
2. Sitoshangaa kuona hata media yeyote ikijishughulisha kuleta mikutano LIVE ya katiba mpya kama wanavyofanya kwa Kanumba( Huu ndo Unafika wa Media zetu zikijiendesha kwa bahasha kama NUKUU ya Pasco wa JF)
3. Leo Media Nyingi ziko busy na msiba wa Kanumba na Kurusha LIVE lakini ikifika mambo yenye manufaa kwa TAIFA wanatupia kisogo
RIP Kanumba
RIP Katiba Mpya
1. Juzi tarehe 7.04.2012 baada ya kifo cha Kanumba wakati nasafiri nilisikia mtangazaji wa clouds FM alikireport kutoka msibani sinza kwa kanumba eti anatoa number ya M-PESA ili watu wachangie maandalizi ya msiba (hiki kilikuwa kitendo cha kipumbafu kwa clouds FM kujinufaisha na Msiba wa marehemu)
2. Sitoshangaa kuona hata media yeyote ikijishughulisha kuleta mikutano LIVE ya katiba mpya kama wanavyofanya kwa Kanumba( Huu ndo Unafika wa Media zetu zikijiendesha kwa bahasha kama NUKUU ya Pasco wa JF)
3. Leo Media Nyingi ziko busy na msiba wa Kanumba na Kurusha LIVE lakini ikifika mambo yenye manufaa kwa TAIFA wanatupia kisogo
RIP Kanumba
RIP Katiba Mpya