Unafiki au Ulimbukeni?

Kuna uwezekanao kabisa serikali moja kupandisha bei ya bidhaa fulani ili kurekebisha bajeti yake. Hii hutokea sana katika nchi zzenye vyanzo finyu vya kongeza mapato ya serikali. Hivyo kulinganisha kiwango cha kuongezeka kwa bidhaa nchi tofauiti kutaonyesha jinsi serikali hiyo inavyotegemea chanzo hicho. Kwa mfano wako huu wa soda, mimi naishi EU, bei ya coke ya kopo ml 300 ilikuwa euorcent 49 2004 na sasa ni cent 54. Kwa hiyo jibu lako kuhusu kuongezeka kwa bidhaa za mlaji sehemu nyingi zimeongezeka. Mkate toka cet 49 mpaka cent 62 huku niishiko. sasa Tanzania mkate ni bei gani au umeongezeka vipi wewe unajua. Kama unafuatilia mabo ya uchumi pale mafuta yalipopanda sana nchi za magharibi waliutaka OPEC kuongeza uzalishaji ili bei ipungue., demand vs supply principle. OPEC walikataa kwa kuziambia nchi zipunguze kodi inayotozwa kwenye mafuta kwani nchi nyingine kodi ilifikia 70%. Wakagoma kusikiliza ushauri huo na bei ikapungua kwa kuwa speculants walijua imefika kikomo. Kwa maana hiyo serikal zinachangia mwongezeko wa bei wa bidhaa fulani fulani ilikuziba nakisi kwenye bajeti zao. Kila nchi ina economic indicator zake, zinazofuatwa na Marekani au THE Gx zaweza kutokuwa na maana kwenye uchumi wetu, japo kutokana na utegemezi wetu zinaweza kuleta nakisi kwenye bajeti yetu na kusababisha Mfumuko wa bei. Matumizi yasiyo na sababu au udhibiti mbovu wa mapato kwa serikali iliyoko madarakani unachangia kuleta mfumuko wa bei. Ushabiki au la serikali yeyote lazima ichague je uchumi utaongoza siasa au siasa itaongoza uchumi. Uchumi ukiongoza siasa kuna uhakika wa kukua au kuwa stable. Mfano Kenya kama siasa ingeongoza uchumi machafuko ya kisiasa yaliyotokea yangewaacha pabaya. Siasa kuongoza uchumi , mfano Tanzania toka vita ya Nduli hatujatengemaa wala kuzinduka kutoka kwenye mtizamo huo

Excellent view
 
Mi simuelewi huyu mtu jamani haoni hata thamani ya pesa yetu jamani mkapa ameacha usd 1 = 1160 na sasa ni 1500 yaani huyu mtu haoni utofauti wowote?? Ongezeko la ths 400 ni dogo kwake kwa dola moja! Au ndo ukada wake huo,
hance hata bia lazima iwe juu kutokana na uchumi wetu kushuka.
Au ni ukilaza wa mtu lakini kwa nini usiwaulize wanaojua uchumi wakusaidie?????
 
Mi simuelewi huyu mtu jamani haoni hata thamani ya pesa yetu jamani mkapa ameacha usd 1 = 1160 na sasa ni 1500 yaani huyu mtu haoni utofauti wowote?? Ongezeko la ths 400 ni dogo kwake kwa dola moja! Au ndo ukada wake huo,
hance hata bia lazima iwe juu kutokana na uchumi wetu kushuka.
Au ni ukilaza wa mtu lakini kwa nini usiwaulize wanaojua uchumi wakusaidie?????

Tupe takwimu za pound vs dollar au yen vs dollar na yen vs pound.
 
Ndugu zangu;
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???

Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????

Tutazidi kuachwa kwa style hii.
Aisee!!!
wewe ndo NAFIKI NA LIMBUKENI
Nimejaribu whole time kujaribu kukutenganisha na hivyo vitu lakini una ingredients zooote.
 
angalia kwenye website ya bot utaona hayo yoote!!

So biased.Ulipotoa hiyo part ya dollar na shillingi ungetoa na ya nchi nyingine tupate kufanya uchambuzi.Inaonyesha uwezo wako finyu wa kuchanganua mambo.
 
So biased.Ulipotoa hiyo part ya dollar na shillingi ungetoa na ya nchi nyingine tupate kufanya uchambuzi.Inaonyesha uwezo wako finyu wa kuchanganua mambo.

wabunge.jpg
 
Ndugu zangu;
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???

Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????

Tutazidi kuachwa kwa style hii.

Ana point maana siri-kali inapenda kupandisha TAX kwenye bia na sigara daily, wanajua demand yake ni inelastic yaani hata kama ni kuwanyima msosi watoto nyumbani watu watanunua tu, no mater the price.
 
Ana point maana siri-kali inapenda kupandisha TAX kwenye bia na sigara daily, wanajua demand yake ni inelastic yaani hata kama ni kuwanyima msosi watoto nyumbani watu watanunua tu, no mater the price.

My question is:kipi ni bora,kuongeza wigo wa kodi kwa vyanzo vya ndani au kukimbilia wahisani?Kweli usingizi unatunyemelea
 
Ana point maana siri-kali inapenda kupandisha TAX kwenye bia na sigara daily, wanajua demand yake ni inelastic yaani hata kama ni kuwanyima msosi watoto nyumbani watu watanunua tu, no mater the price.

So you think that is the correct way of moving the economy kuendelea kuwabamiza sekta pekee za uzalishaji zilizobakia na kuwaachia sekta zengine zikipeta tu. Fiscal policy has to a flexible policy kutokana na mahitaji ya nchi husika kwasababu in the long run hizo sekta wanazozibamiza tax zitakuja kushindwa kumudu kwasababu wateja watashindwa kununua bia na viwanda vitafungwa na huku zile rasilimali tunazoziacha zikayoyoma tutakuwa hatuna tena.

Binafsi kama wanaongeza kodi za vinywaji basi kuweko na long term plan ya kutoa subsidies kwa viwanda vidogo vidogo ili nao waweze kuzalisha bia za ubora. ili wakija kupunguza kodi baadae tunaweza kuwa tumeongeza viwanda na kuongeza mapato. Serikali yetu inafikiria njia moja pandisha kodi wanasahau kuna njia nyingi za kuongeza mapato moja wapo ni kupunguza matumizi ya serikali.
 
So biased.Ulipotoa hiyo part ya dollar na shillingi ungetoa na ya nchi nyingine tupate kufanya uchambuzi.Inaonyesha uwezo wako finyu wa kuchanganua mambo.

we kilaza umenunuliwa wewe kama mjomba wako makamba
 
Not so bad.It helps me understand the type of people am trying to talk to.
dude, you have been here whole out and still trying to talk? be real bana.

The bad side of it, unatetea ulimbukeni wa serikali kukimbilia kupandisha bei za soda, bia na sigara wakati kuna maeneo ya kufanyia kazi
 
dude, you have been here whole out and still trying to talk? be real bana.

The bad side of it, unatetea ulimbukeni wa serikali kukimbilia kupandisha bei za soda, bia na sigara wakati kuna maeneo ya kufanyia kazi

Jamaa taahira huyo!
 
Vile vile wasing'ang'ane na kodi katika vitu vidogo kama vinywaji, sekta ya madini ni sekta muhimu sana hasa wakati huu ambapo madini kama dhahabu yamekuwa yanaaminika zaidi katika financial market than some leading global currencies. Sasa wakati thamani gold iko juu na inaendelea kupaa sie tunasemehe kodi. Pia hata kile kinapatikana hatukioni. Wakipanua wigo wa kodi itasaidia kuongeza mapato ya serikali. Lakini tujiulize kwanini thamani ya sarafu pia ni muhimu ikawa controlled?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom