TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Ndugu zangu;
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???
Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????
Tutazidi kuachwa kwa style hii.
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???
Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????
Tutazidi kuachwa kwa style hii.