Unafiki au Ulimbukeni?

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Ndugu zangu;
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???

Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????

Tutazidi kuachwa kwa style hii.
 
Bei ya soda Africa Kusini inakaribia US$ 2, LAKINI mapato yao ni tofauti na sisi. Mshahara ambao Mkuu wa Idara analipwa hapa TZ hawezi kuishi Afrika kusini kwa wiki mbili. Watanzania wanacholalama ni kuwa mapato ni madogo, vitu ghali. Viatu vinavyouzwa TShs 35000 hapa TZ Afrika kusini ni Rand 1000 sawa na 180,000 wao kwa viwango vya mishahara yao wanaweza kununua.
 
Bei ya soda Africa Kusini inakaribia US$ 2, LAKINI mapato yao ni tofauti na sisi. Mshahara ambao Mkuu wa Idara analipwa hapa TZ hawezi kuishi Afrika kusini kwa wiki mbili. Watanzania wanacholalama ni kuwa mapato ni madogo, vitu ghali. Viatu vinavyouzwa TShs 35000 hapa TZ Afrika kusini ni Rand 1000 sawa na 180,000 wao kwa viwango vya mishahara yao wanaweza kununua.

Hujajibu swali.
 
Ndugu zangu;
Kuna mtu alikuwa analalamika kwamba serikali imesababisha bei ya bia kupanda toka 900/-TZS mpaka 1,500/-2004 to 2010.Nikamuuliza bei ya soda ya Coke nchini Kenya,Afrika Kusini au Marekani ilkuwa kiasi gani mwaka 2004 na leo ni kiasi gani???

Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????

Tutazidi kuachwa kwa style hii.

Bei ya coke marekani haijabadilika
kwa kupingana na ukilaza na ulimbukeni wako, bei za vitu vingi marekani zimeshuka
 
Bei ya coke marekani haijabadilika
kwa kupingana na ukilaza na ulimbukeni wako, bei za vitu vingi marekani zimeshuka

Mwafrika hapo sasa unatudanganya. Jee unalinganisha na bei za mwaka gani? Hakuna hata nchi moja bei za vitu huwa zinashuka.
 
Bei ya soda Africa Kusini inakaribia US$ 2, LAKINI mapato yao ni tofauti na sisi. Mshahara ambao Mkuu wa Idara analipwa hapa TZ hawezi kuishi Afrika kusini kwa wiki mbili. Watanzania wanacholalama ni kuwa mapato ni madogo, vitu ghali. Viatu vinavyouzwa TShs 35000 hapa TZ Afrika kusini ni Rand 1000 sawa na 180,000 wao kwa viwango vya mishahara yao wanaweza kununua.


MAKOFI TAFADHALI KWA VICENTE !!!

Huyo TandaleOne nina wasiwasi na uwezo wake wa kufikiri.

Hivi wewe Bwana TandaleOne unafikiri watu waliochoka na serikali ya CCM ni wendawazimu?

Tafakari kijana.......................
 
TandaleOne,

Mkuu wangu hapa umekosea kwani bei ya soda nchi hizi haijaongezeka. Na kama imeongezeka mahala popote ni utokana na kodi zake kuongezeka hivyo kilichoongezeka kinakwenda serikalini kama kodi na sii sababu ya mfumko wa bei kama unavyotokea Tanzania. Thamani ya shilingi yetu hushuka kwa asilimia 10 kila mwaka hilo tu pekee linakupa picha tofauti na nchi hizi.
 
Ndugu zangu;
...
Hizi ni siasa,ulimbukeni au ushabiki???Mfumuko wa bei katika ulimwengu wa utandawazi serikali ya ndani pekee ndo huwajibika??Au ni sisi tunawajaza ndugu zetu maarifa na taarifa nusunusu.????

Tutazidi kuachwa kwa style hii.

Msaada tafadhali: Hivi "serikali ya ndani" ndiyo ipi hiyo?!
 
kwenu tandale leo mvua imenyesha utalalaje?endelea kuwa kondom ya ccm, by the way karibu tarime ufanyiwe tohara ya akili,iwe ya kizalendo
 
Jamani kwa kudokeza tu..nilikuwa Kenya miaka ya 2005..soda ilikuwa 18 na sasa...ni 20 kshs!!!!!!! ile ya 300ml.
 
Back
Top Bottom