Unafanya nini ukim-miss umpendae

siku hizi hakuna kumisiana kuna simu,video calling raha tupu...mnh:A S 13::wink2:
 
nikimmiss nimpendae nakuja JF,nachangia hoja wee hadi nipate usingizi nilale.....idumu JF,imenisaidia sana kwa mengi!
 
Back
Top Bottom