Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
kiukweli ni majukumu, ndo maana baadhi ya huduma hupunguzwa, imagine unakuwa wa kwanza kuamka kuhakikisha watoto na mume wamekunywa chai, wana nguo sahihi za kuvaa, wanaobaki watakuka nini asbh, mchana, jioni mtakula nini, bado hujaangalia kuku, hujakusanya biashara, then uende kazini, jioni upitie biashara, urudi nyumbani upike, umuandalie mume na watoto msosi, usimamie mambo ya hapa na pale, umpe hubby haki yake, bado umnyoe.... Loh......
Acha nikaicheki hiyo thread....
Angalia sasa !
Namna hapa ulivyofunguka kiutu'uzima!
Uko timamu kuzidi maelezo !
Umenimwagiaje mipweenti !
Semea tu sijui sometyms ChtCht hua inakuzuru! Sijui nikushawishi uhamie Siasa!