Madame B umenipa raha leo eti au unamuogopa ...ila kuna wababa wengine bandidu hata alieje halikusaidii tena anasema ebu mnyamazishe huyo mtoto mimi najaribu kulala hapa
Hahahaaaa YNNAH nisipobadilika siitakula we siunajua kumpata kama yeye Amyner ni ngumu?siku hizi heshima na adabu eee? Safi sana
Pole sana Kijinoyani ungekuwa karibu ningekupa 5, ila chukua ya mbali, kama vile ulikuwepo, ananiambia me nimechoka, na mtoto anavyolia mpaka nami nikaanza kulia, yani wababa wengine cjui wakoje, ila nimeshamzoea.
Si umpe Baba yake am-bembeleze we ulale?
Au unamuogopa, Shauriro....!!!
Haogopwi Mtu hapa.
yani ungekuwa karibu ningekupa 5, ila chukua ya mbali, kama vile ulikuwepo, ananiambia me nimechoka, na mtoto anavyolia mpaka nami nikaanza kulia, yani wababa wengine cjui wakoje, ila nimeshamzoea.
Tena shukuru uwe unakutana na mning'inio wa kiivo!
Usijekutana na mning'inio asilia! Nyimbo zote za utotoni utazikwimba!
hebu nambie we mwanachit chat unafanya nini saiv? me ndo kwanza naenda zangu mkesha kanisani!!!!! we je?
We jana sa iz si ulimwambia unatoka savannah unakwenda levo8?
Labda awe Simba Babaake Iddi aliyekua Mbunge wa Ilala!
Au Simba Babaake Waziri Sofia ! Ndo unaweza wachezea!
Au Simba zee la porini.
Bt Simba shababi itakua alfu lela ulela !
Tajua hapohapo Mkuu.
Me najua Teknik ya Kucheza na Wanyama.
Tatizo lenu mkishaizoea ofisi perfomance hushuka always! Nae ndiyo keshaizoea!
Mpaka pakisikika fununu kuna kidumu kinaelekea ku'attack Ikulu yake ndo perfomance huiushwa.
Afu kule kwenye uzi wa Pakajimy "usafiri kafiri" kuna swali langu umelikwepa!
Nenda ukajibu acha janjajanja.