Unafahamu vipi kuhusu miaka 6000 ya ukomo wa Dunia?

Wakuu, heshima kwenu. Naleta kwenu mjadala huu unaohusu mpango wa Mungu kwa ukomo wa sayari dunia ambao kuna watu wamekuwa wakisema kuwa, Mungu kaipangia Dunia miaka 6000. Wanaodai hivyo wamekuwa na hoja wanazozitoa kuhalalisha madai yao. Nitaleta kwenu baadhi ya hoja hizo, na kwa kadri ya kila mtu anavyofahamu, ataongezea ili hatimaye nami pamoja na wengine tupate kitu.
Hoja namba 1
Kwamba, Mungu aliumba mbingu, nchi na bahari kwa muda wa siku sita na ya saba akastarehe.
Hoja namba 2
Yanatumika mafungu kadhaa ya biblia ambayo japo yana maana halisi (literal meaning), lakini yanatumika pia kama yalikuwa yanalenga kutoa ujumbe wa kinabii (prophetic meaning). Baadhi ya mafungu hayo ni haya yafuatayo.
Kutoka 21:2 Ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako huru bure.
Kutoka 23:10-11
Utapanda mbegu katika nchi yako muda wa miaka sita na kuyavuna maongeo yake; lakini mwaka wa saba utaiacha nchi itulie na kupumzika..

Joshua 2:2-5 ...fanya hivi siku sita. Na makuhani saba watachukua tarumbeta saba
za kondoo waume, mbele ya hilo sanduku; na siku ya saba
mtauzunguka mji mara saba.

Hata ukisoma habari za naamani, safari ya saba kujichovya katika maji, ndipo akatakasika ukoma wake.

Hoja hizo zote zinatumiwa kufikio hitimisho kuwa, Mungu hukamilisha mambo yake katika mfuatano wa vipindi 6, inaweza kuwa siku sita, majuma au miaka. Na kwenye ufunuo inaeleza watakaokwenda mbinguni, ama pasipo kuonja mauti au kwa kufufuliwa, watatawala na kristo miaka 1000 (Ufunuo 20:1-5). hivyo wanahitimisha kwa kusema kuwa. Muda ambao Mungu kaipa dunia (baada ya dhambi) ni miaka 6000, na miaka 1000 ni ya kupumzika mbinguni. Jumla miaka 7000, ndipo mbingu mpya na nchi mpya zinatengenezwa. Umeshawahi kusikia nadharia jii? kama ndiyo, hebu ongezea kuhusu ulivyosikia wewe.
cc: Ntuzu mshana jr TODAYS Eiyer na wadau wote, karibuni.

There is no recordation for aboriginal beings. Ever since consciousness existed we were HERE already.

Kitu kilichoongelewa kuhusu miaka 6000 ni existence of amalgamated creactures ambao ni WAZUNGU NA MAKABILA YAO. DUNIA YAO ITAISHIA MIAKA HIO 6000 TU. UWEPO WA TAWALA ZAO ZA KIUCHUMI, KISIASA NA KIMWILI (AMBAO NI UTAWALA WA KISHETANI ) UTAONDOKA MIKONONI MWAO. NA KUHAMIA KWA ABORIGINAL TENA (KUUMBWA KWA DUNIA MPYA NA MBINGU MPYA. AMBAO UTAKUWA UTAWALA WA UFALME WA MBINGU AMBAKO DUNIA ITAONGOZWA KIROHO NA SI KIDINI).

SIO DUNIA KAMA SAYARI KUWA ITAKUFA NA MAISHA KUFA HAIKUWA NA MAANA HIO.

NA MIAKA YAO IMEBAKI MICHACHE SANA NDIO MAANA WANAHANGAIKA MNO MAANA WENYEWE WANAFAHAMU.

WALE WANAOSOMA KITABU CHA BIBLIA KUNA UTABIRI WA YESU ALISEMA KUWA: WHEN YOU SEE A FIGUE TREE IS SPROUTING, BE AWARE THAT THE KINGDOM OF HEAVEN IS NEAR ( UKIONA MTI ULIOKAUKA UNAANZA KUCHIPUA UJUE NDIO ISHARA MOJAWAPO YA KUWA UFALME WA MBINGU UNAKARIBIA).

MTI ULIOKAUKA NI KIZAZI CHA WATU WEUSI WALIPOONDOSHWA NA KUNYANYASWA NA UTAWALA MPYA DHALIMU NA WAHOVYO WA WAZUNGU. WAKAFUTWA KABISA KATIKA USO WA MAARIFA DUNIANI. KWA VILE SIKU HIZI WATU WEUSI DUNIANI WANAANZA KUHOJI MAMLAKA HUSIKA JUU YA UOVU WALIOTENDEWA WAKATI WAO NDIO WALIOLETA USTAARABU WOTE DUNIANI NA KUTAKA KUANZA UPYA KUVESHA DUNIA NGUO TENA NI SAWA NA MTI UNAOCHIPUA.

MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA NA ALIE NA MASIKIO NA ASIKIE.
 
Hapo kwanza kuna two conflicting theories, ya dini(imani) na sayansi. Ili mjadala uwe na afya inabidi kuzungumzia kama mtuma bandiko alivyolituma yaani kwa muktadha wa kiimani.

Wanasayansi na wasiomwamini Mungu kwa hoja hii haina nguvu wala mashiko kwao. Ntarudi
 
sasa wanaposema siku 1 ni sawa na miaka 1000, ina maana kwa siku sita ndio miaka 6000 dunia iliumbwa afu mwaka wa 7000 ndio akastarehe!!
 
Kabla hata Binadamu wa kwanza hajatia unyayo wake ktk uso wa hii Dunia Maandiko takatifu tayari Yalikwisha toa Dalili kuhusu siku za mwisho,baadh ni:-
>watu kuvaa uchi/kutembea uchi
>watu kushindana ktk ujenzi wa majumba Marefu(Ghorofa)
>Uwiano wa watu wanaozaliwa kua mdogo kuliko wanaokufa,hii kwa sasa pia inachangiwa kwa kiasi na suala la Uzazi wa mpango,Vita,majanga ya asili n.k
**Hvyo ni baadhi,yapo mengi
Yte hayo yanaakisi uhalisia kwamba siku za Mwisho zipo ktk Mbio zake za mwisho
 
Je ni kweli Dunia ina miaka 6000?

Na,ni kwa vigezo vipi,wakati kuna miamba hapa hapa Duniani ina miaka zaidi ya Milioni moja?

Tuanzie hapo kwanza kujadili
hapo hata mi huwa nashangaa maana evolution ya binadamu isingetokea kwa muda mfupi hivyo
 
Yesu Kristo amesema mwenyewe hakuna anayejua mwisho Wa dunia isipokuwa MUNGU MKUU hayo mengine yote janja janja tuuu ya wanadamu.kama uneshindwa kitu kidogo chakujua utakufa dakika gani au Siku gani ambayo hayo mambo unayo unayaona.itakuwa ambalo lipo mafichoni.sasa naomba nikuhulize swali dogo tu.lini utaumwa maleria.ukijua hilo lilipo maficho basi utajua mwisho Wa dunia
 
Kisayansi /geologicaly proved ni 4.6 bil yrs according to mwalim wangu wa geology.. Hio 4000, mara 2000+ ni mambo kidini na kamwe ukichanganya hayo mambo mawili hutapata jibu.......
So hilo suala tunavooongelea ni la kisayansi au la theology
 
IQ inahitajika kuelewa haya mambo
IQ yako ikiwa ndogo tutabishana bure tu,sasa kama apo umeandika nin?
Mpendwa Fungi, do you depend on your IQ to survive ? Or it just happens that you keep breathing in and out.....
 
Doomsdays sayers wana maelfu ya theories na bahati mbaya zote hufanyiwa justification na Biblia. None of them have worked so far. So kwa eneo hilo la dini kutabiri ukomo wa dunia tunaweza ku-conclude kuwa chances are so slim, almost negligible.....kwa upande wa Sayansi mwisho wa dunia is a fact, it will happen....when? Hundreds of thousands years or even millions from now
 
inawezekana ikawa hivyo lakini ukisona kwenye Qur'an tukufu ni kwamba siku mnazozihesabu duniani ni tofauti na siku za mungu kwani siku moja ya mungu ni miaka elf moja tunayoehesabu sisi
 
M/MUNGU ameficha baadhi ya mambo ambayo ni beyond na human brain.1.ameficha siku yako ya KUFA 2.ameficha matendo yako siku ya kiama 3.ameficha kiumbe tumboni kuwa ni jike au dume.(kabla ya kupuliziwa roho tumboni).4.ameificha siku ya kiama .
Japo ktk hii siku ya kiama Allah amemuelezea mtume Muhammad s.a.w dalili ambazo amezisimulia ktk hadithi zake na ktk Quran pia.dalili za kiama ni nyingi sana lkn zifuatazo ni baadhi.
1.Mauaji ya kutisha yasiyo sababu Bali ni propaganda tu za wauaji tunaona mifano.mashariki ya Kati,n.k
2.maasi na maradhi zasiyokuwa na dawa mfano Aids.etc
3.amana itakapokuwa haipo au kupoteza kwa amana .mfano ukimpa MTU kitu km pesa akupelekee sehemu.au kutunza.je utazipata tena?
4.dunia kuwa km kijiji.tunaona zama hizi
5.wanawake kutembea uchi na kuvaa Nguo lkn hawajavaa.
6.smoke to the entire world.wengine wanatabiri ni nuclear bombs zitaripuka na kuathiri duniani
7.Masiihu dajjal (a person with one eye who will distribute bad morals and killings and fisaad (uharibifu)duniani.
8.a giant animal will appear from down the earth who will cause devastation
Zipo dalili nyingi lkn NIMEANZA na hizo kwanza.nitrudi inshallah
 
Back
Top Bottom