mshemwa steven
Member
- Jun 23, 2010
- 14
- 0
haya bwana hiyo kali
Walishakutenda?
Basi nenda Mtwara......
duuhhhh hapo umenichemsha ...
Huyu jamaa naona kama kaweka maneno mazito. Chukua herufi za kwanza kwa kila neno kuanzia neno lamwisho kurudi la kwanza....
duuuhhhh asante sana muheshimiwa..
kwakweli najiona mjinga kwa kutogundua hilo..
Mambo kama haya sana hu-target wanawake. Nakumbuka msemo wenye maudhui kama haya, "Kafa Ulaya Mazishi Afrika." Sijui inakuwaje.....!!
duuuuhhh kwakweli
kwa hiyo mtu anaweza kukutukana hata usielewe...
duuuhh kuna hatari...
Unaweza ukatukanwa usijue, kuna watu huwasilianna kwa ciphers kama ilivyokuwa kwenye series za prison break.... kazi kwenu!!!!!!
kafie mbali paka mweusi we!!!!!
Mtunzi wa swali kwa mtindo huu uhenda ikawa vigumu kupata jibu halikadhalika watu kutaka kufahamu ulimaanisha nini? Kama zawadi ni issue basi jipe mwenyewe kwa kazi nzuri.
Oh!nashukuru kwa fumbo zuri!