Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
......kama tukitenda dhambi tungekuwa tunapata adhabu hapo hapo, kwa mfano ile unamaliza kuwaza uovu wako tu, unastukia unanyukwa makofi, makonzi na mitama mfululizo huku akupigae humuoni.
Unadhani status ya uovu ingekuwa vp?
Unadhani status ya uovu ingekuwa vp?