Sabry001 JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,064 353 Nov 5, 2011 #1 Kuwa upweke unaweza ua? So lonely ths wkend
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,807 59,289 Nov 5, 2011 #3 Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale???
Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale???
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 5, 2011 #4 uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off
Mpatanishi JF-Expert Member Jul 1, 2011 1,810 623 Nov 5, 2011 #5 Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa
Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa
Sabry001 JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,064 353 Nov 5, 2011 Thread starter #6 Lizzy said: Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale??? Click to expand... kweli jana vyote hvyo kwa ucku wa jana sikuwa navyo! Kidogo nikufe yani
Lizzy said: Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale??? Click to expand... kweli jana vyote hvyo kwa ucku wa jana sikuwa navyo! Kidogo nikufe yani
Sabry001 JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,064 353 Nov 5, 2011 Thread starter #7 Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... umeme mpaka sa hv haujarudi jameni
Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... umeme mpaka sa hv haujarudi jameni
Sabry001 JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,064 353 Nov 5, 2011 Thread starter #8 DASA said: Si uchukue Lager zako mbili! Loh! Click to expand... I dont take alcohol jamani.
daughter JF-Expert Member Jun 22, 2009 1,275 745 Nov 5, 2011 #9 ungenibip tusaidiane nadhani mi nilikuwa mpweke zaidi ila ile thread ya maswali na majibu ilinisaidia
ungenibip tusaidiane nadhani mi nilikuwa mpweke zaidi ila ile thread ya maswali na majibu ilinisaidia
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Nov 5, 2011 #10 Mpatanishi said: haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa Click to expand... kila thread yake ana log off. Washawasha akisahau ku log off Mkumbusheni jamani!
Mpatanishi said: haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa Click to expand... kila thread yake ana log off. Washawasha akisahau ku log off Mkumbusheni jamani!