Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,327
Wowowo..mguu wa bia..macho ya kurembua..lips full kama kiroba cha mchele..kiuno cha haja..kifua cha kutosha..shingo kama ya mbuni!Ehh nini kingine unataka?lizzy nimekujibu swali lako..
jje wewe vipi?
una wowowo la kutosha?????