he heee heeee watu mmepinda humu.Kuna Doctor yoyote wa Muchs huku JF? nahisi kutakuwa na mgonjwa ametoroka kule kwenye ile ward ya wakina naniiiiiiiiiiiiiiiii...Mod upo kweli?
mzee unamaliza mbavu zangu hapa,karibu bana,kesho utafaidi,ngoja watu wamalize w-endJamani nimeona sehemu ya wakubwa tunaingiaje!!!uko
tunaitaji kuokoa ndoa mbichi/chakavu/na zile zinazomaliza
hamu ya kuishi wawili wawili...
kuna mganga/mnajimu kaingia humu rasmi..........................
kuna mganga/mnajimu kaingia humu rasmi..........................
shida yetu watanzania hatuwapi nafasi wenzetu watusaidie matatizo tuliyonayo badala yake tunawapuuza kisha tunakimbilia short term resorts like pombe,madawa au kuwa na relations nyingine out of marriage. Kama ndoa yako ipo stable hongera kwako lakini najua zipo za watu wengi tu around you zinazohitaji misaada,let us help each other
pia watu kama hawa wakipata na matatizo kwa kuwa wanajificha ndo wanaokimbilia kujinyonga kutokana na frustrations lakini laiti ungeishirikisha jamii ungerudi kwenye furaha
Onana na mshauri wa ndoa zinazolega lega
mtaalam hashimu/kim
tel:0712 30 87 11 ama 0712 97 57 98
usikubali kuvunja ndoa yako..uwezo unao kuiponya ndoa yako wahi sasa kabla aijasambaratika
Pole najua ujasoma vizuri ama umepoteza ile miwani yako
kuna biashara ya bure kwenye familia yenu ama wewe na elimu yako kuna bussiness free of charge!!!!siko kibiashara .....siitaji pesa nilizonazo zinanitosha na njukulu watakaozaliwa mwakani...,.,swala hawa njukuli......,watazaliwaje kwenye familia zilizo na baba peke yake ama mama peke yake ndio tatizo letu kuna anaetangaz abiashara....ukija kwanza tunamwomba mungu kwanza ujue atuko kibizinezi
acha kuchekesha watu........... biashara ngapi zinakuja na matangazo kuwa ni free......... kasome majuzi hapa kuna mtu kasema atasaidia kutengeneza website free..... kumbe anachaji 150,000 minimum !!!!!!!!
tena wewe umejikita kwenye ndoa tu............. unaangalia a fast moving item.......... hahah..... biashara zingine bwana..................