ALLEX JF-Expert Member Mar 15, 2011 2,006 343 Aug 29, 2011 #1 ukitoa ofa angalia na maeneo unaweza pata vidonda vya tumbo .. Jamaa sijuwi anafiri nini hapo nisaidieni..
ukitoa ofa angalia na maeneo unaweza pata vidonda vya tumbo .. Jamaa sijuwi anafiri nini hapo nisaidieni..
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Aug 29, 2011 #2 Kwanza huyu ni kobe, hajafunga. Huku kwetu tunawatandka wote.
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Aug 29, 2011 #3 anahongwa kwa msosi akapigwe mambo!!!!!!!!!!
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Sep 1, 2011 #5 bro kamtoa out bbie kumbe mfuko hautoshi akajidai aaah dia m mbona nimeshiba kula tu wwe kumbe ana njaa nae
bro kamtoa out bbie kumbe mfuko hautoshi akajidai aaah dia m mbona nimeshiba kula tu wwe kumbe ana njaa nae