Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,553
- 45,825
yapo hadi majini masisterswali ni kwamba ni kweli kuna majini ya kislam au ya kikristo, Kuna mtu aliniambia kuwa majini pia yapo ya dini tofauti tofauti ..?
yapo ya kila aina bubu ,yatima nk
ni kweli yapo ya kisristo na kiarabu..majini ni viumbe kama sisi ila wameumbwa kwa moto. na Yanamuamini mungu.yapo makafiri na yanayopenda ibada