Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,446
Jina bila imani ni bure. Kama jina lina nguvu bila chochote nadhani kila mtu mwenye tatizo angekuwa anakaa chumbani na kulitaja hilo jina kisha shetani anatoka. Hivi wale wenye mashetani ambao huwa wanadondoka baada ya kuombewa, hilo jina huwa linakuwa halijawahi kutamkwa midomoni mwao? Na kama huwa wanatamka kwanini shetani huwa anakuwa bado yupo ndani yao hadi waombewe. Halafu inaonekana ww ni mkristo wa jina tu, hujui chochote kuhusu hata nguvu za MUNGU zinapatikana vipi; unadhani nguvu zipo kwenye jina!!!Wewe ndio unajidanganya, hilo Jina baadhi ya binadamu wanalichukulia poa Kwa sababu hawajui siri iliyomo ndani yake ila shetani kwa kujua ukweli amepiga marufuku kulitaja hilo katika vikao vyake kwa namna yoyote ile.