dorcas1234
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 116
- 34
- Thread starter
- #21
Sure,contacts zako ziko wapi??
Unataka contacts zangu niweke hapa?kwani hujui ku PM?
Sure,contacts zako ziko wapi??
unamaanisha nini? sijakupata vema nakama yupo pia ana haki yakuwa namke ,tusiwatenge hao ni wenzetu.
Dorcas let us chat I don't how can we exchange info. Thank you!Natafuta mume wa umri tajwa hapo juu,mwanaume mwenye muonekano mzuri,mrefu asiye,ambaye hatumii kilevi chochote,mkristo,anayejiamini,hata kama utakuwa na watoto usijali tutashirikiana kulea.Mimi ni mwenye siha njema,nafanya kazi hapa dar,ni mkristo niko na 30 yrs,
kama wewe mwanaume unaizo sifa chache unakaribishwa.
Najua wengi mtananga kama ilivyo ada,yeyote atakaye PM atajibiwa.Tafadhali kama huna nia usijaribu.
Natafuta mume wa umri tajwa hapo juu,mwanaume mwenye muonekano mzuri,mrefu asiye,ambaye hatumii kilevi chochote,mkristo,anayejiamini,hata kama utakuwa na watoto usijali tutashirikiana kulea.Mimi ni mwenye siha njema,nafanya kazi hapa dar,ni mkristo niko na 30 yrs,
kama wewe mwanaume unaizo sifa chache unakaribishwa.
Najua wengi mtananga kama ilivyo ada,yeyote atakaye PM atajibiwa.Tafadhali kama huna nia usijaribu.
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously