zeus
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 213
- 55
UN Security Council tarehe 11 oct 2012 imepitisha azimio ambalo linataka viongozi wa jumuiya ya Afrika Magharibi kubainisha mara moja ndani ya siku 45 namna (mikakati) ya kuivamia Mali kijeshi na kuwango'a waasi walioipindua serikali. Inadaiwa uvamizi huo unahalalishwa na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na waasi pamoja na baadhi ya makundi ya kiislam yenye itikadi kali yanayotakak kupitisha sharia za kiislamu kwa watu wote na wenye link na Al Qaida
habari zingine zinathibitisha kuwa kweli hawa waasi wakiwemo waislam wa itikadi kali wanafanya maovu ya kutisha kama mauaji ya raia, kuadhibu wamama ambao hawajaolewa, kuteka watu, kulazimisha watoto kujiunga na majeshi yao, nk
my take: kama kweli waasi wanakiuka haki za binadamu kiasi hicho, basi ni bora kuingilia mali kijeshi na kurudisha hali ya usalama
soma azimio hapa http://www.franceonu.org/IMG/pdf/121012_Mali_draft_res_-_E.pdf
habari zingine zinathibitisha kuwa kweli hawa waasi wakiwemo waislam wa itikadi kali wanafanya maovu ya kutisha kama mauaji ya raia, kuadhibu wamama ambao hawajaolewa, kuteka watu, kulazimisha watoto kujiunga na majeshi yao, nk
my take: kama kweli waasi wanakiuka haki za binadamu kiasi hicho, basi ni bora kuingilia mali kijeshi na kurudisha hali ya usalama
soma azimio hapa http://www.franceonu.org/IMG/pdf/121012_Mali_draft_res_-_E.pdf