UN Security Council yasafisha njia kuivamia Mali kijeshi

zeus

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
213
55
UN Security Council tarehe 11 oct 2012 imepitisha azimio ambalo linataka viongozi wa jumuiya ya Afrika Magharibi kubainisha mara moja ndani ya siku 45 namna (mikakati) ya kuivamia Mali kijeshi na kuwango'a waasi walioipindua serikali. Inadaiwa uvamizi huo unahalalishwa na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na waasi pamoja na baadhi ya makundi ya kiislam yenye itikadi kali yanayotakak kupitisha sharia za kiislamu kwa watu wote na wenye link na Al Qaida


habari zingine zinathibitisha kuwa kweli hawa waasi wakiwemo waislam wa itikadi kali wanafanya maovu ya kutisha kama mauaji ya raia, kuadhibu wamama ambao hawajaolewa, kuteka watu, kulazimisha watoto kujiunga na majeshi yao, nk

my take: kama kweli waasi wanakiuka haki za binadamu kiasi hicho, basi ni bora kuingilia mali kijeshi na kurudisha hali ya usalama
soma azimio hapa http://www.franceonu.org/IMG/pdf/121012_Mali_draft_res_-_E.pdf
 
UN Security Council tarehe 11 oct 2012 imepitisha azimio ambalo linataka viongozi wa jumuiya ya Afrika Magharibi kubainisha mara moja ndani ya siku 45 namna (mikakati) ya kuivamia Mali kijeshi na kuwango'a waasi walioipindua serikali. Inadaiwa uvamizi huo unahalalishwa na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na waasi pamoja na baadhi ya makundi ya kiislam yenye itikadi kali yanayotakak kupitisha sharia za kiislamu kwa watu wote na wenye link na Al Qaida


habari zingine zinathibitisha kuwa kweli hawa waasi wakiwemo waislam wa itikadi kali wanafanya maovu ya kutisha kama mauaji ya raia, kuadhibu wamama ambao hawajaolewa, kuteka watu, kulazimisha watoto kujiunga na majeshi yao, nk

my take: kama kweli waasi wanakiuka haki za binadamu kiasi hicho, basi ni bora kuingilia mali kijeshi na kurudisha hali ya usalama
soma azimio hapa http://www.franceonu.org/IMG/pdf/121012_Mali_draft_res_-_E.pdf
hAYA MAGROUP YOTE YA KIISLAMU YANAYO LETA MAUAJI NA KUWATESA WATU, YAMEJITOKEZA BAADA YA NCHI NYINGI ZA aFRICA KUSITA KUUNGANISHA UNITED STSTE OF aFRICA. Hivyo Ilikuwa ajenda ya sili ya kuwanyima raha wakristo mara baada ya kuunganisha africa. Unyama huu wa boko ungekuwa unausikia unafanyika mahali ambapo kuna wakristo wengi kama zambia, Mozambique angola mna kwingine. Maana madai yao ni ya kitoto sana ya kutaka watu wasivae nguo za west europe kama suruali na suti na bellon. Halafu kuleta utawala wa sharia.

kwa kweli africa tungekiona cha moto. maana ukiunganisha nchi tuu watu huingia bila ya passpoti na kuishi watakavyo tuu. basi ungekuta mtu anatoka Mali au nigeria nakuja kulipua bomu Kagera.Qadafi alikuwa na sera za kinyama sana kwa wakristo hapa barani africa ndiyo maana alililia sana kuunganisha mataifa kwa mpigo na kasi.
 
Back
Top Bottom