Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Macos,
1. Hii notion ya kwamba watanganyika wanapenda muungano ni fabrication ya Nyerere na viongozi aliowachota, watanganyika wengi hawajawahi kufika Tanzania, let alone Zanzibar, and they could care less about Zanzibar despite the fading historical connotations.Watu hawana chaklula unataka kusema muungano utakuwa muhimu kwao kuliko chakula, elimu na matibabu?
2. I condescendingly forgive the caps
Umesema
Inawezekana ilikuwa hivyo, lakini kuna wengine walisema baraza la wawakilishi ilipitisha muungano huu. Una ushahidi gani kuhusu hili?
1. Hii notion ya kwamba watanganyika wanapenda muungano ni fabrication ya Nyerere na viongozi aliowachota, watanganyika wengi hawajawahi kufika Tanzania, let alone Zanzibar, and they could care less about Zanzibar despite the fading historical connotations.Watu hawana chaklula unataka kusema muungano utakuwa muhimu kwao kuliko chakula, elimu na matibabu?
2. I condescendingly forgive the caps
Umesema
AKASAINI BILA YA KUSHIRIKISHA HATA MTU MMOJA KATIKA VIONGOZI WENZAKE....WAZANZIBAR HAWAKUSHAURIWA...
Inawezekana ilikuwa hivyo, lakini kuna wengine walisema baraza la wawakilishi ilipitisha muungano huu. Una ushahidi gani kuhusu hili?