g.n.n
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 407
- 49
habari zenu wana jamii 4rums
ndugu tunaongelea mengi kwenye hili jukwaa kuhusiana na maswala ya computer ila nimekaa nikafikiri kwa mwanafunzi wa sekondari kompyuta inaumuhimu gani kwake ukiachana na swala la kujisomea ambalo ni la msingi katika maisha yake je lipo lingine amblo ni vyema angefahamu 4 dis time.
ndugu tunaongelea mengi kwenye hili jukwaa kuhusiana na maswala ya computer ila nimekaa nikafikiri kwa mwanafunzi wa sekondari kompyuta inaumuhimu gani kwake ukiachana na swala la kujisomea ambalo ni la msingi katika maisha yake je lipo lingine amblo ni vyema angefahamu 4 dis time.