Ahahahaaah!! Mambo ya hesabu hayo!mbona sijaelewa
Ahahahaaah!! Mambo ya hesabu hayo!
Let me explain; (i)chukua umri wako,jumlisha na 1,jibu utakalopata lizidishe mara 3.Jibu utakalopata tulipe jina A. (ii)Chukua umri wako,uzidishe mara 2,kisha jumlisha na 3.jibu utakalopata tulipe jina B. (iii)A-B=Umri wako!
sijakuelewa kabsaaa... mi nilijua umeleta swali!
Let me explain; (i)chukua umri wako,jumlisha na 1,jibu utakalopata lizidishe mara 3.Jibu utakalopata tulipe jina A. (ii)Chukua umri wako,uzidishe mara 2,kisha jumlisha na 3.jibu utakalopata tulipe jina B. (iii)A-B=Umri wako!
(a)3(N+1)=M. (b)M-(2N+3)=P. Substitute N kwa umri wako,jibu la equation(b) i.e P=umri wako!mfano umri wako ni miaka 21,then;(a)3(21+1)=66;(b)66-(42+3)=21 ambao ndo umri wako!
Reversible equation,siku zote kwenye equation za ku-guess umri ni lazima uanze na umri wa mtu,then utamwambia either zidisha mara kadhaa,au gawa kwa namba fulani,mwisho wa siku utarudi pale pale.Sasa kama nimeishaweka umri wangu, kwene huo mlolongo wote wa hesabu natafuta nini? Haya si ndio yale mambo ya 2x+3=7 find x? Wakati x kila mtu anaiona hapo.
sijakuelewa kabsaaa... mi nilijua umeleta swali!