Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
watu wa rika zote teens wazee vikongwe watoto namaanisha chini ya 18 wapooo ukitaka watambua angalia wanayoandika utawatambua
Shortly and clear Jamii foroums is adultszone
Fullstop !
sababu hapa siyo chekechea.
mmmh hakuna mtoto hapa 30 kwenda juu ndio maana............
noooooo
Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi?
JF ni social Network(Mtandao wa kijamii) na kwenye jamii kuna rika lote kuanzia mtoto,kijana,warembo,hadi wazee ndio maana wewe under 18 upo humu na kina mwakyembe,rwakatare G,na mawaziri wamo humu so imecover age zote!
Kama wewe nahisi umri wako ni kati ya miaka 16 mpaka 18.
Kwa jinsi chitchat inavyoenda nahisi kuna watu wana umri chini ya miaka 10
Umri wao sitaki hata kudhania ila nahisi kuna watu wazima wenye akili za kitoto na watoto wenye akili za kiutu uzima.
Umri wao sitaki hata kudhania ila nahisi kuna watu wazima wenye akili za kitoto na watoto wenye akili za kiutu uzima.
ningesema itz the best answer - lakini hapo kwenye red umefanya fyongo.....