Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,606
- 20,340
Jana nilikuwa naangalia kuapishwa kwa Jaji Mkuu M.O. Chande kupitia TV. Kuna jambo nililioligundua kwamba ukiondoa kigezo cha mvi (ambazo hata EL anazo nyingi), jaji mkuu huyu mpya anaonekana kama ana umri mkubwa pengine kuliko hata Mh. Agustino Ramadhan anayestaafu. Profile linaonyesha atatimiza miaka 59 hivi karibuni, lakini muonekano halisi ni kwamba inawezekana either ana umri mkubwa zaidi ya huu alioonyesha au ana matatizo fulani ya kiafya. Kuna mtu mwingine ameliona hilo, au ni mawani yangu yalinidanganya?