CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
CPU,umetoa ushauri wa hekima sana,isipokuwa tu kwenye hizo red,hayo mambo siku zote ndo huwa nayakataa,'kuoa kwa sababu ya....',hapa unaongelea kuoa kwa sababu ya kukwepa upweke uzeeni,kuwa na nesi wa uhakika,kutunzwa....jamani hizi ndizo SABABU za kuoa kweli? ina maana kama nina invest kwenye 'nursing home' nikalipia pesa kabisa wakati wa ujana wangu basi kwa msingi huu sitakuwa na sababu ya kuoa kwa sababu uzee wangu uko secured?
Bishanga ndugu
Sababu ya kuoa kwangu ni UPENDO.
Na mimi kusema hayo uliyoyakosoa si kwamba ndio SABABU ZA KUOA. Hapa umenielewa vibaya.
Kama kuna mtu ameoa au anataka kuoa/ameolewa au anataka kuolewa ili kutimiza KUPATA KITU FULANI basi nampa pole.
"Mjukuu wangu, UPENDO ndio jina kuu la maisha yako"
RIP my lovely Grandfather M.M.M