Umri sahihi wa kuoa kwa wanaume na kuolewa kwa wanawake ni upi?

kama mwanaume hajawahi kuonja mautamu ya papuchi toka kuzaliwa basi ni vyema aoe akiwa na 25..ila kama alishaonja utamu wa papuchi basi wala hasioe kabisa becoz ameshaonyesha kudharau umuhimu wa ndoa
 
habarini wana jf. kunawa2 walikuwa wanabishana kuhusu umri sahihi kwa wanaume kuoa na ku2lia kwenye familia na mwanamke kuolewa na ku2li kwenye familia.embu tupeane mauzoefu karibu:juggle:
umri sahihi wa kuoa na kutulia ni miaka 65 na kuendelea, hapa unauhakika wa kuoa na kutulia, kwakuwa umepitia mengi na umeona mengi, na unajua una maisha marefu, na pengine kiuno hakifanyi kazi yake sawaswa na kama kinafanya hauna mvuto kwa wapenzi wengi kama ulivyokuwa kijana mbichi na pia unabusara ukitafuta wa kukulea uzeeni.
 
Hakuna umri sahihi, ila pale unapoona una uwezo wa kupambana na majukumu ya familia......................oa tu hamna shida
 
umri sahihi wa kuoa na kutulia ni miaka 65 na kuendelea, hapa unauhakika wa kuoa na kutulia, kwakuwa umepitia mengi na umeona mengi, na unajua una maisha marefu, na pengine kiuno hakifanyi kazi yake sawaswa na kama kinafanya hauna mvuto kwa wapenzi wengi kama ulivyokuwa kijana mbichi na pia unabusara ukitafuta wa kukulea uzeeni.

Swali limeulizwa sasa badla ya kujibu vizuri unafanya mzaha. Wewe mzazi wako alioa akiwa na umri huo?
 
Swali limeulizwa sasa badla ya kujibu vizuri unafanya mzaha. Wewe mzazi wako alioa akiwa na umri huo?
ha ha ha nadhani ni kitambo sana tangu nimejibu hivi.. ha ha ha ha :smile-big:.. for real huu ulikuwa mzaha. anyway.
kwa mwanaume 25 na mwanamke 22.this age fertility is high and mental maturation is fine too
 
habarini wana jf. kunawa2 walikuwa wanabishana kuhusu umri sahihi kwa wanaume kuoa na ku2lia kwenye familia na mwanamke kuolewa na ku2li kwenye familia.embu tupeane mauzoefu karibu:juggle:

Haina umri ni mipango na malengo ya m2 yanapotimia na kuamua kuoa
 
kama mwanaume hajawahi kuonja mautamu ya papuchi toka kuzaliwa basi ni vyema aoe akiwa na 25..ila kama alishaonja utamu wa papuchi basi wala hasioe kabisa becoz ameshaonyesha kudharau umuhimu wa ndoa

Hiyo imeandikwa wapi?
 
habarini wana jf. kunawa2 walikuwa wanabishana kuhusu umri sahihi kwa wanaume kuoa na ku2lia kwenye familia na mwanamke kuolewa na ku2li kwenye familia.embu tupeane mauzoefu karibu:juggle:
Umri wa kuoa kwa mwanaume ni miaka 24 na umri wa kuolewa kwa mwanamke ni miaka 20, mtoa mada amehoji vizuri kabisa umri wa kuoa au kuolewa, mambo mengine hayabatilishi umri muafaka wa kuoa au kuolewa. Lakina kutokana na sababu zilizonje ya uwezo wanandoa wanajikuta wanapiliza mpaka kitu ambacho ni kosa.
Wengine wamesema mpaka uwe na uwezo sasa kitu cha kujiuliza ukikosa uwezo inakuwaje. Pia chukulia uwezo unakuja kwenye miaka 60 inakuwaje.
Utafiti unaonyesha watoto wanaozaliwa na umri stahiki tajwa hapo juu ndio wanazaa watoto wenye akili, nafasi ya kuzaa watoto tahira huongezeka umri unavyosogea mbele.
kiukweli mkioana katika umri wa mfano miaka 35 teyari ndoa yenu ina mashaka, kumbuka kama ni mwajiriwa utakuwa una miaka 20 tu ya kuandaa maisha ya mtoto wako ambaye ni wa kwanza, yaani miaka 35 jumla na 20 unakuwa na 55 umri kustaafu sasa je mtoto wa pili, tatu, nne watasomeshwa na nani.
Pia ukiwa 35 wewe siyo kijana tena ni mzee, ujana mwisho miaka 24, hivyo hata katika kuoana itaonekana ni harusi ya wazee, hivyo haitapendeza sana. Jaribu kuangalia harusi wa maharusi wa umri huo wa miaka 35 na 24 utaipenda ya 24.
 
Umri wa kuowa inategemea mtu mwenyew,unawez kumalz elim ya kidat ch 4 ukashindw kwendelea hapo wawez amua mwenyew,ila yule ambay elim yake labda ya chuo kikuu lazim kat miak 28-30 zaid ya hap itakua ngum japo wat wnaow hadi miak 40 ss hiy tuu much
 
pale mtu atakapojua anataka nini maishani. Isiwe chini ya miaka 21.... kwa ajili ya exposure.

Wengine hadi on early 30s wanaona bado maisha ni kula raha za ujana tu. hata kama anaSave benki ili ajenge, hawekei msisitizo. Ikipita mwezi hajaweka anaona muda upo tu.

Huyo hafai. labda kama unaamini anaweza kubadilika kwa ajili yako
 
Umri wa kuoa kwa mwanaume ni miaka 24 na umri wa kuolewa kwa mwanamke ni miaka 20, mtoa mada amehoji vizuri kabisa umri wa kuoa au kuolewa, mambo mengine hayabatilishi umri muafaka wa kuoa au kuolewa. Lakina kutokana na sababu zilizonje ya uwezo wanandoa wanajikuta wanapiliza mpaka kitu ambacho ni kosa.
Wengine wamesema mpaka uwe na uwezo sasa kitu cha kujiuliza ukikosa uwezo inakuwaje. Pia chukulia uwezo unakuja kwenye miaka 60 inakuwaje.
Utafiti unaonyesha watoto wanaozaliwa na umri stahiki tajwa hapo juu ndio wanazaa watoto wenye akili, nafasi ya kuzaa watoto tahira huongezeka umri unavyosogea mbele.
kiukweli mkioana katika umri wa mfano miaka 35 teyari ndoa yenu ina mashaka, kumbuka kama ni mwajiriwa utakuwa una miaka 20 tu ya kuandaa maisha ya mtoto wako ambaye ni wa kwanza, yaani miaka 35 jumla na 20 unakuwa na 55 umri kustaafu sasa je mtoto wa pili, tatu, nne watasomeshwa na nani.
Pia ukiwa 35 wewe siyo kijana tena ni mzee, ujana mwisho miaka 24, hivyo hata katika kuoana itaonekana ni harusi ya wazee, hivyo haitapendeza sana. Jaribu kuangalia harusi wa maharusi wa umri huo wa miaka 35 na 24 utaipenda ya 24.

Kwa hiyo miaka 24 kwa mwanaume, na 20 kwa mwanamke ndo wasema ni miaka sahihi kuoa. Je muda huu tunakuwa tayari tumeshajiimarisha kama watu wa kujitegemea? Elimu kwanza wanasema. Chekechea mpaka chuoni, kisha uanze kujipanga ni zaidi ya miaka 24. Hii si kwa nchi zinazoendelea tu, ni ata kwa nchi zilizoendelea. Hiyo miaka uliotaja hapo bado sana. Pia umelenga watu ambao wanategemea kuajiriwa milele na serikali. Je "wakichelewa" kuoana na uwezo wanao kuna tatizo hapo? Au labda wataoana kisha kutegemea mali za wazazi. muda sahihi wa kuoa ni muda wowote ambao wahusika wanakuwa wameshakubaliana na pia wamejipanga kukabili majukumu ya kifamilia.
 
Back
Top Bottom