uki mature vya kutosha
na ukiwa tayari ..
Maana kuna wengine miaka 40
lakini bado wana act kama watoto waliobalehe...
ukibalehe au kuvunja ungo! -kizaramo-
tembocard mastercard...(kabila flani hivi)
upo so right my dia, umri sio tija sana. Ni ability ya kuweza ku take responsibilities kimawazo na kimatendo..taking into consideration uwe umejipanga pia.
Ni kwa nini usiseme wewe ndio unaeuliza? kwa nini unatumia Third part? wao hawajui kutumia Internet wajiunge wenyewe JF?habarini wana jf. kunawa2 walikuwa wanabishana kuhusu umri sahihi kwa wanaume kuoa na ku2lia kwenye familia na mwanamke kuolewa na ku2li kwenye familia.embu tupeane mauzoefu karibu:juggle:
sasa ww mvulana unakaa kwa dada yako na una miaka 29, unaweza kuoa?tembocard mastercard...(kabila flani hivi)