Mi nimepishanisha miaka tano (5) kwa kila mmoja.
Wanajamvi hivi ni umri/muda gani wa watoto wanaozaliwa wanastahili kupishana kati yao ili waweze kupata vizuri huduma stahiki na mpango mzima wa afya zao?Je kuzaa nako kunastahili kuzingatia umri?
Mi nawapishanisha kwa mwaka mmoja na nusu kisha napiga mimba ingine hivyo hivyo
Mi nimepishanisha miaka tano (5) kwa kila mmoja.
We mkali mkuu,hongera.
Mi nimepishanisha miaka tano (5) kwa kila mmoja.
mm ninaona inategemea na nyny mtafanyeje au mmepangaje
Hii kali si utalea mpaka uzeeni.
sawa ila kwa hv sasa ukisema umwambie mtu azae kila baada ya miaka mi5 au sita inakuwa ngumu kwan inagetemea kipato na yupo kwny hali gan wakat huo. Hvyo bas ni vizur mtu azae pale anapoona anaweza kuwamudu na kuwalea ni hvyo tuu ila wataaramu wanasema nivizur uzae kila baada ya miaka mitatu au sita ili uwe na trade nzur ya age kwa watoto ila ukifuata hvyo je maisha ya hv sasa utaweza kuvumilia. Na je wewe na mwenzio mnaumri gan?Murefu inategemea kweli ila hata kama ni mipangilio isizidi sana mpaka mnasahau issue ya watioto then ghafla mnapata mwingine
sawa ila kwa hv sasa ukisema umwambie mtu azae kila baada ya miaka mi5 au sita inakuwa ngumu kwan inagetemea kipato na yupo kwny hali gan wakat huo. Hvyo bas ni vizur mtu azae pale anapoona anaweza kuwamudu na kuwalea ni hvyo tuu ila wataaramu wanasema nivizur uzae kila baada ya miaka mitatu au sita ili uwe na trade nzur ya age kwa watoto ila ukifuata hvyo je maisha ya hv sasa utaweza kuvumilia. Na je wewe na mwenzio mnaumri gan?
mimi wa kwangu wanapishana mwaka mmoja tu ili wanyanganyane uji vizuri na pia mama apumzike causd nina mpango wa kuwa na watoto wawil tu
Lengo nikuvuka dozen mkuu, kisha mama yao nampunzisha