komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
salam jf
leo naomba ufafanuzi juu ya hili. Ni katika umri upi unafaa mwanaume kua na mpenzi, pia anapaswa awe amejiandaaje?
binafsi nina miaka 26, bado sijafikiria hata kua nae na naona poa 2.
leo naomba ufafanuzi juu ya hili. Ni katika umri upi unafaa mwanaume kua na mpenzi, pia anapaswa awe amejiandaaje?
binafsi nina miaka 26, bado sijafikiria hata kua nae na naona poa 2.