dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Umoja wa wazizi wa CCM wanailaumu CHADEMA kwa kuungilia chaguzi za umoja wa vijana wa CCM.
Wanasema chaguzi za UVCCM zinagubikwa na fujo sababu zinaingiliwa na nguvu kutoka nje. Katibu wa umoja wa wazazi wa CCM kasema CHADEMA wanachofanya ni kumnunua yule aliyeshindwa ili agomee uchaguzi na kufanya fujo.
Anasema hiyo mbinu wameigundua na wataifanyia kazi haraka sana.
Wanasema chaguzi za UVCCM zinagubikwa na fujo sababu zinaingiliwa na nguvu kutoka nje. Katibu wa umoja wa wazazi wa CCM kasema CHADEMA wanachofanya ni kumnunua yule aliyeshindwa ili agomee uchaguzi na kufanya fujo.
Anasema hiyo mbinu wameigundua na wataifanyia kazi haraka sana.