Kila chama kina ideology yake kwa hiyo kuunda alliance ni kukosa dira. Cha maana kila chama wajitahidi kuuza sera zao kwa wananchi wapate wafuasi wengi kipatikane chama strong. Vinginevyo ni kuwadanganya wananchi wawape madaraka bila kujua mtawafanyia nini kwa maisha yao.