Umoja wa upinzani? Lini utakuwepo

Tumain

JF-Expert Member
Jun 28, 2009
3,154
70
Kulikuwa na jitahada za kuwepo umoja wa vyama vya upinzani Tanzania, wakati fulani niliona Chadema, CUF, NCCR-mageuzi na TLP wakisema wameunda umoja wa vyama vinne?

Swali umoja huu bado upo? na nani alikuwa mwanzilishi na malengo yao yalikuwa nini?

Kipi kimeshindakana au kimekwamisha muungano huu je muungano utakuwepo huko tunakoenda? if yes when?
 
upinzani wenyewe CHADEMA anaungana na vyama mamluki, Tarime CCM , TLP. DP na CUF waliungana wakiwa na dhamira ya kuiangusha CHADEMA, HAWAAMINIKI, mfano CUF hawajulikani wanataka nini katika siasa, chama kimejaa watu wenye fikra za kikale .
Hakuna haja yakuungana ilhali falsafa yakuanzishwa vyama hivyo haifanani
 
upinzani wenyewe CHADEMA anaungana na vyama mamluki, Tarime CCM , TLP. DP na CUF waliungana wakiwa na dhamira ya kuiangusha CHADEMA, HAWAAMINIKI, mfano CUF hawajulikani wanataka nini katika siasa, chama kimejaa watu wenye fikra za kikale .
Hakuna haja yakuungana ilhali falsafa yakuanzishwa vyama hivyo haifanani
Nani aliyeanzisha hii fikra na walikuwa na malengo gani?...

je tatizo ni CUF tu yenye watu wenye fikra za kikale..

umetumia vigezo gani kujua kwamba wanafikra za kikale tusaidie?
 
umoja wa wapinzani hautowahi kutokea kwa vile viongozi wa upinzani hawana nia ya kuikomboa nchi yetu wana nia ya kukomboa matumbo yao kama ccm.
 
Nani aliyeanzisha hii fikra na walikuwa na malengo gani?...

je tatizo ni CUF tu yenye watu wenye fikra za kikale..

umetumia vigezo gani kujua kwamba wanafikra za kikale tusaidie?
Walipiga kelele za furaha kufurahia propaganda za CCM kuaminisha UMMA kua CHADEMA ilimuua Wangwe, hapa inatafsiri moj a kua, hupati kuungwa bila chadema kuchafuka Kwanza.
Kudhani kwamba kila mkazi wa maeneo ya pwani kua anaipenda CUF.....MIMI NIKO HUKU MTWARA, ambako viongozi wengi wa CUF hawafanyi juhudi ya kuwaaminisha na kuwaelimisha watu kwanini CUF ni chama bora, wao wanaamini kwa kua mtwara ni pwani basi kila mtu ni CUF, hakika wamepotea.
Lipumba ni mwanasiasa mjinga tu, hana record mwanana ya mapambano ya dhahiri ya kisiasa, hajawahi hata kuongoza kata, hana hadhi ya kuongoza CHAMA cha siasa, labda Faculty ya Uchumi pale mlimani.
Mashabiki wa cuf ni watu waajabu mara nyingi ni wagomvi sana. mpaka sasa sielewi kwanini CUF ni wapenda makuu na ugomvi.
 
Walipiga kelele za furaha kufurahia propaganda za CCM kuaminisha UMMA kua CHADEMA ilimuua Wangwe, hapa inatafsiri moj a kua, hupati kuungwa bila chadema kuchafuka Kwanza.
Kudhani kwamba kila mkazi wa maeneo ya pwani kua anaipenda CUF.....MIMI NIKO HUKU MTWARA, ambako viongozi wengi wa CUF hawafanyi juhudi ya kuwaaminisha na kuwaelimisha watu kwanini CUF ni chama bora, wao wanaamini kwa kua mtwara ni pwani basi kila mtu ni CUF, hakika wamepotea.
Lipumba ni mwanasiasa mjinga tu, hana record mwanana ya mapambano ya dhahiri ya kisiasa, hajawahi hata kuongoza kata, hana hadhi ya kuongoza CHAMA cha siasa, labda Faculty ya Uchumi pale mlimani.
Mashabiki wa cuf ni watu waajabu mara nyingi ni wagomvi sana. mpaka sasa sielewi kwanini CUF ni wapenda makuu na ugomvi.
wewe ni mgonjwa ....nenda kaongee na wajinga wenzako hukooo, tunaongelea umoja wa upinzani wewe unaongelea ugomvi wako na lipumba umetumwa?
 
wewe ni mgonjwa ....nenda kaongee na wajinga wenzako hukooo, tunaongelea umoja wa upinzani wewe unaongelea ugomvi wako na lipumba umetumwa?
ndio tatizo liko hapo, hampendi kuambiwa ukweli na vyama vyenu mfu na kina Lipumba wenu vimeo, ili uweze kusonga mbele ni vyema ukaujua ukweli kutoka kwa mtu mwingine.....tusema ukweli, ukiacha uenyekiti wa CUF lipumba amewahi kuongoza nafasi gani kisias, hawa si viongozi, wanavigeuza vyama kama taasisi za kuombea misaada, wanajiongezea CVs ili wakienda kwenye workshop za kimataifa wakapate kuganga njaa.
CUF ni wagomvi, kila mahala wanapenda ugomvi na matusi.
 
ndio tatizo liko hapo, hampendi kuambiwa ukweli na vyama vyenu mfu na kina Lipumba wenu vimeo, ili uweze kusonga mbele ni vyema ukaujua ukweli kutoka kwa mtu mwingine.....tusema ukweli, ukiacha uenyekiti wa CUF lipumba amewahi kuongoza nafasi gani kisias, hawa si viongozi, wanavigeuza vyama kama taasisi za kuombea misaada, wanajiongezea CVs ili wakienda kwenye workshop za kimataifa wakapate kuganga njaa.
CUF ni wagomvi, kila mahala wanapenda ugomvi na matusi.
hilo linahusikaje na umoja wa upinzani?

in BTW ujue mbowe hajamaliza shule alianza akafeli..anaendesha biashara ya pombe na uchangu doa..mjini lakini bado anadaiwa na nssf..

acha personalites tuongee nani aliaanzisha hii idea na imefikia wapi?, je itakuwepo?
 
When weak join hand they become strong..have forgetten that?

Nope. When weak unite it is just a chain of weak links. Even when the weak unite it is always under one strong leader. That's why in the fight for independence we the weak( wananchi) united but we united under strong people who were capable of taking us all the way. So the question is which is the strong party to lead the rest of them? Or who is the strong leader who can lead them?
 
hilo linahusikaje na umoja wa upinzani?

in BTW ujue mbowe hajamaliza shule alianza akafeli..anaendesha biashara ya pombe na uchangu doa..mjini lakini bado anadaiwa na nssf..

acha personalites tuongee nani aliaanzisha hii idea na imefikia wapi?, je itakuwepo?
kwani biashara ya Pombe ni haramu...wewe ni mjinga na punguani .
kudaiwa na NSSF kwani ni wizi.....hauko kisasa.
Lakini ni kiongozi makini mwenye historia ya kua mbunge.......
Sikila msomi anakarama ya uongozi, unadhani kuwa profesa ni uongozi.
Bado naamini Libumba ni kiongozi asie faaa katika siasa na ndio maana muungano hauwezi kufanikiwa.
 
Nope. When weak unite it is just a chain of weak links. Even when the weak unite it is always under one strong leader. That's why in the fight for independence we the weak( wananchi) united but we united under strong people who were capable of taking us all the way. So the question is which is the strong party to lead the rest of them? Or who is the strong leader who can lead them?
So, it is weak wananchi who should first united and find strong leader or we find the strong leader first who can you unite the weak wananchi! which is which?

As for strong leader who can lead them what do you think? and why?

do you think this can happen between now aand before 2010?

what went wrong with previous alliance of four parties ..

these were fundemenatls questions i wanted JF opinions..
 
kwani biashara ya Pombe ni haramu...wewe ni mjinga na punguani .
kudaiwa na NSSF kwani ni wizi.....hauko kisasa.
Lakini ni kiongozi makini mwenye historia ya kua mbunge.......
Sikila msomi anakarama ya uongozi, unadhani kuwa profesa ni uongozi.
Bado naamini Libumba ni kiongozi asie faaa katika siasa na ndio maana muungano hauwezi kufanikiwa.
kama unaona hafai una haki kutompigia kura akigombea kama mtanzania mwingine...nami sintampigia mbowe kwasababu hafai kwa vigezo vyangu kama mpiga kwa hiyo kila heri..

lipumba ni msomi anayeshimika ndani ya nchi (ni walimu wa watu wengi sana) na kimataifa...na watu wanaomkubali ni wengi...kwa achievement zake za kitaaluma pamoja za kiongozi..kama humpendi ni bahati mbaya tu..usimpigie kura.
 
So, it is weak wananchi who should first united and find strong leader or we find the strong leader first who can you unite the weak wananchi! which is which?

As for strong leader who can lead them what do you think? and why?

do you think this can happen between now aand before 2010?

what went wrong with previous alliance of four parties ..

these were fundemenatls questions i wanted JF opinions..

It is a both way thing. The right leader should come out and be willing to serve the people and the wananchi must be ready to elect him/her into a position of power. Every team has captain so we do need a strong leader.

I don't think it will happen between now and 2010. I highly doubt it.

What caused the alliance to fail was that there was no clear cut leader. You can't unite and every one starts acting like they are the leader in the end you will just end up having a power struggle.
 
kama unaona hafai una haki kutompigia kura akigombea kama mtanzania mwingine...nami sintampigia mbowe kwasababu hafai kwa vigezo vyangu kama mpiga kwa hiyo kila heri..

lipumba ni msomi anayeshimika ndani ya nchi (ni walimu wa watu wengi sana) na kimataifa...na watu wanaomkubali ni wengi...kwa achievement zake za kitaaluma pamoja za kiongozi..kama humpendi ni bahati mbaya tu..usimpigie kura.
ni Idea nzuri, lakini kwenye muktadha wa Muungano wa vyma vya siasa nakuambia ukweli kua hauna haja wala maana, kama ulikua na maana kulikua na haja gani kuanzisha vyama hivi, maana kama CUF anaitikadi, CHADEMA wanaitikadi nyingine tofauti, sasa itadi kuziunganisha ni ngumu, unapoenda kugombea unawauzia Wapiga kura mawazo na fikra za chama chako......
hakuna haja ya kuungana maana Mrema+Lipumba+Mtikila=CCM masalia.
 
ni Idea nzuri, lakini kwenye muktadha wa Muungano wa vyma vya siasa nakuambia ukweli kua hauna haja wala maana, kama ulikua na maana kulikua na haja gani kuanzisha vyama hivi, maana kama CUF anaitikadi, CHADEMA wanaitikadi nyingine tofauti, sasa itadi kuziunganisha ni ngumu, unapoenda kugombea unawauzia Wapiga kura mawazo na fikra za chama chako......
hakuna haja ya kuungana maana Mrema+Lipumba+Mtikila=CCM masalia.
Na mbowe ni ccm asilia? au
kwahiyo umoja umeshakufa kifo cha mende mpaka hapo?
 
Nope. When weak unite it is just a chain of weak links. Even when the weak unite it is always under one strong leader. That's why in the fight for independence we the weak( wananchi) united but we united under strong people who were capable of taking us all the way. So the question is which is the strong party to lead the rest of them? Or who is the strong leader who can lead them?
Crystal
 
Back
Top Bottom