Umoja wa nchi unavunjwa!

haki na usawa

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
481
135
Jamani kama kiongozi anasamehe wezi wakubwa je ni haki? Nani anavunja umoja wetu? Maana hakuna haki kati ya masikini/fukara na Tajiri
Maana wezi wakubwa hata TAKUKURU haina uwezo nao ila wanyonge wanakamatwa na kuwekwa ndani na kufukuzwa kazi/kusimamishwa kazi lakini wezi wakubwa wanatamba mtaani na hakuna wa wakuwagusa!
Usalama wa Taifa nao hauna uwezo wa kuwashughulikia wezi hawa wakubwa na ukiangalia kwa DPP ndo kabisaa hata faili likifika halishughulikiwi maana wezi hawa ni hatari kama kiongozi mkuu anawaomba warudishe fedha kwa hiari ujue ni hatari hata kwake japo yeye ana Jeshi na Walinzi wa usalama kibao je DPP kwanini asifiche faili?
Je nani anavunja UMOJA NA MSHIKAMANO wetu?
Kama hakuna USAWA na HAKI usitegemee Umoja uwepo maana wenye shida wataungana na wenye raha wataungana je kuna Umoja?
 
Back
Top Bottom