Umoja wa mataifa UN, US na EU ndio wavunjifu wa amani duniani

Kama Kikwete ni adui wa waislam basi duniani hakuna muislam...kwa nini unamdhalilisha rais na imani yake? Ndio mnavyofundishwa hivi huko madrasa? Kudharau Iman za watu? Na je wale waislam waliomualika kule kwenye msikiti wa Qadafi dodoma na sehem zingine zenye shughuli za waislam nao tuwaone wajingwa according to you? Kwani wamemualika muislam mnafiki si ndio?
Wtf with your head(brain)?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ami niombe msamaha kwa kunidhalilisha.. Mimi sio adui wa waislam na uislam.. Islam is the religion of peace..mimi nina uadui na foolish people and brainwashed people like you
Mimi nilitaka nikuite mbumbumbu lakini naona haitoshi,chagua tusi litakalokufaa mwenewe.Angalia hao hapo chini ni nani wanaokanusha september 11 kufanyika na waislamu.Hao si kwamba ni wamarekani tu bali wataalamu wa mambo ya anga na ujenzi wenye uzoefu wa miaka sio mzungu wa reli kama wewe.
Griffin, Professor Emeritus, author of 11 books on 9/11 - including the just published "9/11 Ten Years Later : When State Crimes Against Democracy Succeed." Military and Intelligence Personnel
BowmanR.jpg
"Scholars and professionals . . . have established beyond any reasonable doubt that the official account of 9/11 is false and that, therefore, the official 'investigations' have really been cover-up operations." -- Lt. Col. Robert Bowman, PhD, Former Director of Advanced Space Programs Development


KwiatkowskiK.jpg
"It is as a scientist that I have the most trouble with the official government conspiracy theory, mainly because it does not satisfy the rules of probability or physics." -- Lt. Col. Karen U. Kwiatkowski, PhD, Former Political-Military Affairs Officer in the Office of the Secretary of Defense
LankfordS.jpg
"Your countrymen have been murdered and the more you delve into it the more it looks as though they were murdered by our government, who used it as an excuse to murder other people thousands of miles away." -- Lt. Col. Shelton F. Lankford, U.S. Marine Corps (ret) fighter pilot with 300+ combat missions
"I'm astounded that the conspiracy theory advanced by the administration could in fact be true and the evidence does not s
RayR.jpg
eem to suggest that's accurate." -- Col. Ronald D. Ray, U.S. Marine Corps (ret), Dep Asst Sec Defense in Reagan Admin
RokkeD.jpg
"No aircraft hit the Pentagon. Totally impossible! You couldn't make the turns with a 757. You couldn't fly it in over the highway. You couldn't fly it over the light poles. You couldn't even get it that close to the ground because of turbulence." -- Major Douglas Rokke, PhD, U.S. Army (ret)
SabroskyAN.jpg
"What we saw happen on that morning of September 11, 2001, was the result of a highly-compartmentalized covert operation to bring about a fascist coup in this country." -- Alan N. Sabrosky, Former Director of Studies, Strategic Studies Institute, U.S. Army War College


Pilots and Aviation Professionals
BalsamoR.jpg
"The information provided by the NTSB does not support the 9/11 Commission Report of American Airlines Flight 77 impact with the Pentagon." -- Rob Balsamo, Commercial airline pilot (4000+ hours), Co-founder Pilots for 9/11 Truth

FoxF.jpg
" . . . it would have been highly improbable that even a seasoned American test pilot, a military test pilot, could have flown a T-category, aircraft like the 757, into the first floor of the Pentagon because of a thing called Ground Effect." -- Capt. Fred Fox, Retired commercial airline pilot (33 years with AA)

KolstadR.jpg
"I was also a Navy fighter pilot and Air Combat Instructor, U.S. Navy Fighter Weapons School, and have experience flying low altitude, high speed aircraft. I could not have done what these beginners did." -- Commander Ralph Kolstad, U.S. Navy (ret), commercial airline captain (27 years), 23,000+ total hours flown

LearJ.jpg
"No Boeing 757 ever crashed into the Pentagon. No Boeing 757 ever crashed at Shanksville. . . . And no Arab hijacker, ever in a million years, ever flew into the World Trade Center." -- John Lear, Retired commercial airline pilot (19,000+ hours)

PriceG.jpg
"The Pentagon was not hit by a Boeing 757. A Boeing 757 did not crash in Shanksville Pa." -- Gordon Price, Former Fighter Pilot Royal Canadian Air Force, Retired Air Canada captain

StanishG.jpg
". . . sometime in the near future, it will become common knowledge that the events of 9/11 were an 'inside job' designed, engineered and committed by a very large and 'in control' rogue element within our United States federal government". -- Glen Stanish, Commercial airline pilot (15,000+ hours)
WittenbergR.jpg
". . . an airplane that weighs 100 tons all assembled is still going to have 100 tons of disassembled trash and parts after it hits a building. There was no wreckage from a 757 at the Pentagon." -- Capt. Russ Wittenberg, Retired commercial pilot (30,000+ hours)


Engineers and Architects
BachmannH.jpg
"In my opinion the building WTC 7 was, with great probability, professionally demolished." -- Hugo Bachmann, Professor Emeritus, Former Chairman of the Department of Structural Dynamics and Earthquake Engineering, Swiss Federal Institute of Technology

BarnumD.jpg
"I have 'known' from day-one that the buildings were imploded and that they could not and would not have collapsed from the damage caused by the airplanes that ran into them." -- Daniel B. Barnum, Fellow American Institute of Architects

DeMartiniF.jpg
"The building was designed to have a fully loaded 707 crash into it. . . . I believe that the building probably could sustain multiple impacts of jetliners because this structure is like the mosquito netting on your screen door." -- Frank A. DeMartini, Architect and WTC Construction Manager

GageR.jpg
" . . . all three World Trade Center high-rise buildings, the Twin Towers and Building 7 were destroyed not by fire as our government has told us, but by controlled demolition with explosives." -- Richard Gage, Founding member Architects and Engineers for 9/11 Truth

JohnsonD.jpg
"Symmetrical collapse is strong evidence of a controlled demolition. A building falling from asymmetrical structural failure would not collapse so neatly, nor so rapidly". -- David A. Johnson, B.Arch, Professor Emeritus, F.AICP


JowenkoD.jpg
"I looked at the drawings, the construction and it couldn't be done by fire. So, no, absolutely not." -- Danny Jowenko, Proprietor, Jowenko Explosieve Demolitie B.V. (European demolition and construction company)
KellerJ.jpg
"Obviously it [WTC 7] was the result of controlled demolition and scheduled to take place during the confusion surrounding the day's events." -- Jack Keller, Professor Emeritus, Fellow American Society of Civil Engineers

MasudE.jpg
"The 9/11 Commission Report is fatally flawed. The major conclusions of The 9/11 Commission Report, the official, conspiracy theory, are false." -- Enver Masud, Former Acting Chief Strategic & Emergency Planning, U.S. Dept of Energy, Consultant USAID and World Bank, author "9/11 Unveiled"


University Professors
BarrettK.jpg
"9/11, a carefully crafted ersatz-religious event, crafted by atheist neocons to dupe folks of good faith, has been exposed as a lie." -- Dr. Kevin Barrett, Co-founder Muslim-Jewish-Christian Alliance for 9/11 Truth, Host of The Kevin Barrett Show and Truth Jihad Radio

DewdneyAK.jpg
"We have found solid scientific grounds on which to question the interpretation put upon the events of September 11, 2001 by the Office of the President of the United States" -- A. K. Dewdney, Professor Emeritus, Member Scientific Panel Investigating Nine-Eleven
GriscomDL.jpg
"Despite the absence of any visible fire at the time of collapse, the government report alleges WTC Building 7 is the first and only steel-framed high-rise building in the history of mankind to collapse simply as the result of a fire." -- David L. Griscom, PhD,Research physicist, Member Scholars for 9/11 Truth and Justice


HufferdJ.jpg
"Muslims could not have had access to the . . . super controlled demolition blasting agent found in . . . dust samples from Ground Zero or to the buildings themselves to implant that material beforehand." -- James Hufferd, PhD, Founder 911 Truth of Central Iowa, Grassroots Coordinator of 911Truth.org

JonesS.jpg
"I provide thirteen reasons for rejecting the official hypothesis, according to which fire and impact damage caused the collapse of the Twin Towers and WTC 7, in favor of the controlled-demolition hypothesis." -- Steven Jones, PhD, Former Professor of Physics, Principal Investigator U.S. DOE, Adv Energy Projects

MuminH.jpg
"Truth, Ethics and Professionalism are completely lacking in the official aftermath and investigations surrounding the 911 disasters. Unfortunately we went to war predicated on lies, sustained in lies, and perpetuated in lies." -- Hamid Mumin, Ph.D., Prof. Engineer, past President of the Canadian Council of Professional Geoscientists

SchiavoM.jpg
" . . . this is the first time that families have been attempted to be silenced through a special fund, . . . the airlines approached members of Congress and the Senate to get their bailout and their immunity . . . starting on 9/11." -- Mary Schiavo, JD, Former Professor of Aviation

SchneiderJ.jpg
"In my opinion the building WTC 7 was, with great probability, professionally demolished". -- Jorg Schneider, Dr hc, Professor Emeritus, Structural Dynamics and Earthquake Engineering
 
Wapi katika dunia ambapo umoja wa mataifa au mataifa ya Ulaya na Marekani wameingia na pakawa na utulivu.
Angalia Iraq,Pakistan na Libya.Angalia Yemen na Somalia.Angalia Sudan na Syria.Angalia na Myamar.
Hawa ni maadui wa amani na maadui wa waislamu.Kwa sababu penye waislamu amani huvunjwa kwa kuwapiga waislamu.
Sasa wameingia Kongo hawaoni haya kuwaunganisha Uganda na Rwanda eti ndio wanaofadhili waasi Kongo.Kama si uchochezi huo ni nini.
Ustadi wao wa kuvunja amani huwa wanatumia mianya midogo ya mifarakano kuwagonganisha ndugu waliokuwa wakiishi kwa amani.Wakienda Burma ni mabuda na waislamu.Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.

Chuki binafsi ni jambo la hatari sana na ni baya zaidi unapokuwa huna ulijualo na ukaanza kulieleza mbele za watu wenye akili ukidhirisha chuki.
Nitafurahia sana kusikia jinsi sisi WAKRISTO tunavyotumiwa na siyo kueleza pumba za chuki tu.
Je unajua ni kwa nini waislam mlibaki nyuma ?
Tofauti na propaganda za waislam wachonganishi kama wewe, ni kwa sababu ya kung'ang'ania kusoma madrasa na mlikataa kwenda shule kwa wazo la kuwa mtalishwa nyama ya nguruwe. Lakini, hesabu viongozi wengi wa nchi hii na maproff wengi, walisomea shule za Makanisa. Nenda kamulize MZEE MAKAMBA.
Hivyo, nafurahia sana baada ya uhuru tu. BABA TAIFA kwa mkono wa serikali alitaifisha shule nyingi za KANISA na baada ya azimio la Arusha, elimu ikawa bure.
Ndo hapo mambo yalibadilika na hapo waislam mlianza kusoma shule. Na kwa sababu shule zilikuwa chache, ni wachache tuliopata nafasi.
Hilo tatizo la kutumiwa na Mabeberu ni mtandao wa uongo uliobuniwa na Waarabu (Jedah) ili kutufarakanisha.
Acha kabisa.
 
Wapi katika dunia ambapo umoja wa mataifa au mataifa ya Ulaya na Marekani wameingia na pakawa na utulivu.
Angalia Iraq,Pakistan na Libya.Angalia Yemen na Somalia.Angalia Sudan na Syria.Angalia na Myamar.
Hawa ni maadui wa amani na maadui wa waislamu.Kwa sababu penye waislamu amani huvunjwa kwa kuwapiga waislamu.
Sasa wameingia Kongo hawaoni haya kuwaunganisha Uganda na Rwanda eti ndio wanaofadhili waasi Kongo.Kama si uchochezi huo ni nini.
Ustadi wao wa kuvunja amani huwa wanatumia mianya midogo ya mifarakano kuwagonganisha ndugu waliokuwa wakiishi kwa amani.Wakienda Burma ni mabuda na waislamu.Wakija Tanzania ni waislamu na wakristo.Wanatumiwa wakristo kuvunja amani kwa kuwakandamiza waislamu.
Mkuu umesahau kuweka nchi za Kiarabu katika orodha yako, ukweli ukitoa hao waliotuletea hizo dini mbili utakuta tutabaki kwa amani maana hakuna kitu kitakachoitwa ukristo wala uislamu ambacho kingetusumbua na kutufikisha hapa, na wala tusingekuwa tunakimbilia nchi za Marekani wala Uingereza kuomba hifadhi maana kusingekuwa na uvunjifu wa amani. Ajabu ni kwamba, hao walioleta hizo dini ambao naamini ndio wanazifahamu zaidi yetu, hutowasikia wakichoma nyumba za ibada wala kuwachukia watu wa nchi yao ambao si wa dini yao, na hutowasikia wakilumbana sana ama kupoteza muda kujadili mambo ya udini kama tunavyoona katika nchi hizi ikiwemo yetu ambazo ziumeletewa hizi dini na kimsingi hazina mahusiano na maisha yetu na hata Utanzania wetu ambao ni wa msingi zaidi kuliko hizo dini letwa. Imefikia wakati kujiuliza tunahusiuka vipi na hizi dini mpaka tufikie kukaribisha bara letu na sasa nchi yetu iwe Battle ground ya dini hizi mbili? Je ni uelewa wetu ama kukubali kwetu kutumiwa, ama ni umaskini wetu?TAFAKARI, CHUKUA HATUA
 
Tafuta kitu kinachoitwa Abuja Declaration 1989 alafu uone jinsi haya yanayotokea yalivyopikwa hapo. Wapikaji wapo nje ya Africa, sisi ni walaji wa hayo yanayopikwa kwa hasara zetu. Uvunjivu wa amani tunaukubali wenyewe kwa kubali vitu ambavyo hatuhusiki navyo.
 
Back
Top Bottom