umoja Phone si ya Wakenya ni mali ya Mtanzania ...

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,207


Kampuni ya umojaphone haikuwa nyuma katika mkutano wa DICOTA - Washington DC. Umoja Phone uliwawezesha watanzani kupiga simu nyumbani kwa bei poa kabisa..
 
nimesema hivyo sababu kuna thread ilianzishwa na kusema ni ya mali ya Wakenya ..
najaribu kuitafuta...

Si ungeijibu hapo hapo (ktk thread husika) sasa Afrodenzi....mbona wewe ni mtaalam sana wa kupost thread....
Nimesema hivyo kwa sababu ambaye hajaiona atakubaliana nami kuwa vitu haviendani... Au ungetoa maelezo kwenye thread yako kuwa una prove wrong to someone na copy ya thread ukaiweka...
 
Sio ya waKenya so??? nani alisema ni mali ya Kenya (lete Link tafadhali). Ungesema sio ya wkenya ni yako binafsi ingekuwa jambo lingine, lakini kumbe mwenyewe hata humjui, wataka kuanza kumtafuta. Ujamaa bana, khe!
 
Jamani afrodenzi mbona umenilet down na hii post.

I look upon you on quality postings. All your postings hold a lot of water. But this! Ohh! Or you had some other ideas? Let us know!
 
Back
Top Bottom