Umezaliwa Mwezi Gani??

hahaha yaani naona kagong mule mule...lol ukikutana na mimi uache ukorofi eeehh
Mwenzio nna bahati ya peni.....................................

na mimi nataka kuwa kama pen.....nifanyeje....?
 
sheke yahya..futuring kakobe at work....what i know is that your behaviour and character is determined by many factors including the physical environment you were rised in and not your birth month....
 
Asprin, babu kumbe ulizaliwa mwezi mmoja na mjukuu wako! ebu taja na tarehe kabisa..

afu we na Preta mnatuharibia wa january wengine bana....mna-prove him right!
Tarehe 21 January, ilikuwa alhamisi. Chezeya JANUARY?

sisi huwa hatuna maneno na watu....watu ndo huwa wanataka maneno na sisi....
Wakimwaga UGALI siye twamwaga MATEMBELE, shenzy zao.
 
Tarehe 21 January, ilikuwa alhamisi. Chezeya JANUARY?

Wakimwaga UGALI siye twamwaga MATEMBELE, shenzy zao.

Hahah...nitaunda hypothesis: Watu wote waliozaliwa on a THURSDAY are great minds!! esp. if it was on a January Thursday!!!
 
Umezaliwa mwezi gani?
JANUARY =:> Jasiri na mkorofi

FEBRUARY = :> Mwenye bahati na
mkweli

MARCH =:> Msumbufu ana wivu na
penzi la kweli na nimzuri

APRIL=:> Anajali na ni mpiganaji.

MAY =:> Mwenye upendo na aliye halisi

JUNE =:> Mwenye mvuto wa mapenzi na kiu ya kujua mambo

JULY =:>Amebarikiwa vipaji na ana busara

AUGUST =:> Makini na mchapa kazi

SEPTEMBER =:>Anaelewa haraka na ni mzuri

OCTOBER =:> Anakwenda na wakati na ni rafiki

NOVEMBER= :> Ana kipaji na ni mbunifu

DECEMBER =:> M2 wa starehe 2.
Kwa mujibu wa huo mtazamo wako, wezi, wavuta bangi, mafisadi, wabakaji, makahaba etc.....etc... wamezaliwa mwezi gani..??
 
October 17, nina uhakika ni rafiki mzuri, sina uhakika na kwenda na wakati

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Kwa mujibu wa huo mtazamo wako, wezi, wavuta bangi, mafisadi, wabakaji, makahaba etc.....etc... wamezaliwa mwezi gani..??

Gud question... (refer born in Decembers!)

Wengi wao Januari.....hahahahaaah.

babu..sitaki kutenda dhambi, naomba umjibu huyu Asprin!

October 17, nina uhakika ni rafiki mzuri, sina uhakika na kwenda na wakati

Hawajakosea...teh teh..kubaliana na ukweli tu..

Kama mimi vile, sijui kazitoa wapi hizi tafsiri?

Kwenye research...hehehehe
 
Last edited by a moderator:
babu..sitaki kutenda dhambi, naomba umjibu huyu Asprin!
Hahaha mkuu Mentor usipoteze muda wako na huyo mla
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php




Hebu mtafute Preta anaweza akawa na neno zuri sana juu yake.
 
Last edited by a moderator:
Hawajakosea...teh teh..kubaliana na ukweli tu..
Inategemea na definition ya kwenda na wakati, kama inamaanisha kutunza muda, I.e. Kufika kwenye appointment kwa muda pangwa etc, ni sawa. Lakini kama inamaanisha maswala ya fashion.... Sijui


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
mh mtoa mada kadanganya bana xmas tunaadhisha siku ya bosi wetu usituzingue shindwa kabisa wewe heh

bora ubaeleze na mi wa boxing day nilikuwa nagwaya sasa niko kifua mbele 26 dec tena ni mpole wala si mpenda kujirusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom