Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Jamani naweza kuuliza huu Umeya ambao umezua pata shika baada ya uchaguzi mkuu ni kitu gani na una maana gani(Au una nguvu gani) Kisheria ,je watu hawa ni sawa na wale regional(Wakuu wa Mikoa) au Wilaya ?
Tafadhalini msinione mjinga ,nauliza tu ili kutaka kujua kwa undani pengine nina wenzangu ambao nao wangependa kujua.
Tafadhalini msinione mjinga ,nauliza tu ili kutaka kujua kwa undani pengine nina wenzangu ambao nao wangependa kujua.