hommiie,Nimeshawahi kukumbushiwa......................inatia raha sana! Ni reminder nzuri katika kuhuisha mahusiano yenu.
siku hizi ni ngumu kidogo mama!yaani mie huwa namkumbushiaga sana, haaaa raha sana, huwa nafurahia nikikumbuka.
siku hizi ni ngumu kidogo mama!
mambo yamekuwa ''elektronikale zaidi''
vijana wanakutana baa huko.
step ya kwanza ''NAOMBA KONTAKTI ZAKO''...something very very common
:becky::becky::becky::becky:hata mie niliombwa contact hivyo hivyo, raha yangu ilikuwa kumuona ile cku ya kwanza alivyokuwa mnyonge, yaani wacha tu....
:bounce:Je umeshawahi kumkumbushia mpenzi wako jinsi alivyokuwa akikutokea/tokewa mpaka mkawa wapenzi na kuvuliana makufuli na kupeana raha kwa mara ya kwanza?
:becky::becky::becky::becky:
Mimi huwa nakumbushwa na yule niliyem'bikiri............. inanipa raha sana:bounce:Je umeshawahi kumkumbushia mpenzi wako jinsi alivyokuwa akikutokea/tokewa mpaka mkawa wapenzi na kuvuliana makufuli na kupeana raha kwa mara ya kwanza?
Teamo!! we mbona hujibu swali???? au we bado??layball: